Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Ndugu yangu Zakumi,
Kwenye bandiko langu la 161 na 162 hapo juu, nimeelezea kuwa Azimio la Arusha lilikuwa la TANU/CCM na kama Chadema watalitaka, yawezekana wakalienzi au kuweka miiko yao.
NItaitafuta hiyo leadership code ya miaka hiyo na hii ya miaka hii tuoanishe.
Rev. Kishoka;
Baada ya kupitia habari za mivutano ya kuhusu uchaguzi huu, nimebadili mawazo. Kama kuna uwezekano, Tanzania inahitaji Kagame wake. Dikteta mtaifa au kiongozi mwenye charisma mwenye kuweza kusukuma mambo single-handedly kwa manufaa ya taifa.