Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Kaka nia na ya chadema sio kuchukua dola bali ni kurise ruzuku.sasa wanapata ruzuku ya milion280 kutoka serikalini tayari wamesha kipata walichokua wanakitaka ndio maana sasa wameacha operation sangara ambayo ilikua inasambaza chama vijijini na sasa wanadeal na maandamano ili wagawane posho na kulipana madeni hewa.kwa sasa wameamua kugawana posho kwa kisingio kwamba wanakwenda kutoa elimu kuhusu katiba.wananchi wameichoka ccm lakini hawana kimbilio mwisho wa siku wanajikuta wako chadema,chadema wanasambaza chama kwa kutoa matamko makao makuu ndugu zangu wanachadema kuchukua nchi2015 kwa kusubili matamko ya mnyika makao makuu ni ndoto za mchana na Dk slaa kuwa rais haiwezekani maana kwa sasa hana hoja zaidi ya maandamano na kukesha viwanja vya NMC arusha?mwanachadema jenga chama mwenyewe huko uliko ukisubili wakujengee hao wachaga unapoteza mda wao wako kumaximize profit sasa wanapataprofit ndio maana Dk slaa analipwa mshahara wa milion saba na nusu kwa kuongeza ruzuku Umeandika upuuzi
Shauri yako,nape hana fungu tena,uhuu?!