CHADEMA njooni vijijini uza sera kwenye jamii watu wana kiu na CHADEMA

Kazi ya kuimarisha chama isifanywe na viongozi wa juu pekee. Viongozi ngazi ya Wilaya, kata na vijiji wajengewe uwezo wa kiongozi ili wafanye kazi ya kueneza sera na kuimarisha chama. Kwa sasa CDM ndio tegemeo pekee kwa watanzania walio wengi...... Saa ya ukombozi wa nchi yetu kutoka kwa mkoloni mweusi ni sasa
 
Kazi ya kuimarisha chama isifanywe na viongozi wa juu pekee. Viongozi ngazi ya Wilaya, kata na vijiji wajengewe uwezo wa kiongozi ili wafanye kazi ya kueneza sera na kuimarisha chama. Kwa sasa CDM ndio tegemeo pekee kwa watanzania walio wengi...... Saa ya ukombozi wa nchi yetu kutoka kwa mkoloni mweusi ni sasa
Pamoja saana Mkuu wakati wa ukombozi ni sasa!!!!!!! CHEDEMA ndicho chama pekee tegemezi cha kutukomboa kuondoa ufisadi kwa kuunda katiba mpya itakayo pambana na ufisadi!!

Judge Mkuu wa Kenya amemwambia waziri Wetangula kama hataki kuishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi ya Kenya mlango uko wazi aachie cheo cha uwaziri tufikie hapo!!!!!!!!!!








 
Pamoja saana Mkuu wakati wa ukombozi ni sasa!!!!!!! CHEDEMA ndicho chama pekee tegemezi cha kutukomboa kuondoa ufisadi kwa kuunda katiba mpya itakayo pambana na ufisadi!!

Judge Mkuu wa Kenya amemwambia waziri Wetangula kama hataki kuishi kwa kufuata katiba na sheria za nchi ya Kenya mlango uko wazi aachie cheo cha uwaziri tufikie hapo!!!!!!!!!! ( SOURCE; DAILY NATION KENYA 6Th Dec 2011)
Nakubaliana na ushauri wa mtumishi wetu. Ni kweli CHADEMA ni chama chenye mwelekeo wa ukombozi. Wakati umefika wa chama hicho kuwa na mkakati wa kufanikisha ukombozi huo.

Huko vijijini wananchi wananyanyasika lakini wanashindwa kujitetea kwa kuwaondoa mafisadi/magamba wa ccm. Juzi juzi nilienda Urambo kwenye kijiji cha wakulima wa tambaku - Usimba. Kule nilikuta wakulima wanakopeshwa pembejeo kwa dola ya Marekani.

Lakini watalazimika kulipa mikopo hiyo kwa fedha za Kitz. Kwa njia hiyo wakulima hao masikini wanaibiwa. Chadema waende huko wawaelimishe wanavijiji juu ya haki zao za msingi na kuwaelewesha kuwa TZ bila CCM inawezekana. Chadema fungueni matawi kila mahali vijijini na mijini.

Achaneni na hizo posho za kiwizi za wabunge wachumia tumbo. Kuweni wawakilishi halisi wa wananchi na siyo wezi wa wananchi kwa kujilimbikizia posho lukuki huku mnaowawakilisha wakikosa hata mlo wa siku. Fanyeni hivyo muone jinsi wananchi watakavyowalipa 2015!!!
 
hoja imetolewa na imeungwa mkono, naongeza pia ktk matokeo ya uchaguzi malalamiko ya chadema yalikua kwa usalama wa taifa na wataalam wa IT, nashauri CHADEMA waanzishe kitengo cha IT kitakachokua kinafuatilia prgm mpya zinazoingia na jinsi ya kuzuia udanganyifu unaoweza kufanywa uchaguzi ujao, naamini cdm 2na vijana wasomi na werevu we can do this 2 save our nation.
 
naamini pia kila mwana jf huku ana ndugu na jamaa walio vijiji au hata kama hayupo kjjn atafute watu watatu awape somo, CHADEMA ni mimi na wewe tusiwaachie Mbowe, Mnyika ,Sugu, Dr, Regia, Halima Zitto na wengine, wote tujitolee kwa moyn mmoja.
 
Kaka nia na ya chadema sio kuchukua dola bali ni kurise ruzuku.sasa wanapata ruzuku ya milion280 kutoka serikalini tayari wamesha kipata walichokua wanakitaka ndio maana sasa wameacha operation sangara ambayo ilikua inasambaza chama vijijini na sasa wanadeal na maandamano ili wagawane posho na kulipana madeni hewa.kwa sasa wameamua kugawana posho kwa kisingio kwamba wanakwenda kutoa elimu kuhusu katiba.wananchi wameichoka ccm lakini hawana kimbilio mwisho wa siku wanajikuta wako chadema,chadema wanasambaza chama kwa kutoa matamko makao makuu ndugu zangu wanachadema kuchukua nchi2015 kwa kusubili matamko ya mnyika makao makuu ni ndoto za mchana na Dk slaa kuwa rais haiwezekani maana kwa sasa hana hoja zaidi ya maandamano na kukesha viwanja vya NMC arusha?mwanachadema jenga chama mwenyewe huko uliko ukisubili wakujengee hao wachaga unapoteza mda wao wako kumaximize profit sasa wanapataprofit ndio maana Dk slaa analipwa mshahara wa milion saba na nusu kwa kuongeza ruzuku Umeandika upuuzi
 
Back ground ya chadema ni chaga development manifesto ilianzishwa pale lotter club kipindi cha miaka ya 92 kwa nia ya kuwakusanya wachaga katika kitu kimoja baada ya vuguvugu la vyama vingi wakaamua ku abbreviate chaga development manifesto to chadema ambayo ikatafsiliwa kama chama cha demokrasia na maendeleo na kupata usajili kama chama cha siasa chini ya mwenyekiti mzee mtei.maana yangu ni kwamba chadema sio chama bali ni kampuni ambayo inatumia matatizo ya watanzania kama njia ya kujipatia ulaji kama huamini uchaguzi ujao wa chadema nenda kagombee nafasi ya juu ya chama utaonakinacho kupata au fuatilia kisa cha chacha wangwe na zitto wakusimlie.
 
Nakubaliana na ushauri wa mtumishi wetu. Ni kweli CHADEMA ni chama chenye mwelekeo wa ukombozi. Wakati umefika wa chama hicho kuwa na mkakati wa kufanikisha ukombozi huo. Huko vijijini wananchi wananyanyasika lakini wanashindwa kujitetea kwa kuwaondoa mafisadi/magamba wa ccm. Juzi juzi nilienda Urambo kwenye kijiji cha wakulima wa tambaku - Usimba. Kule nilikuta wakulima wanakopeshwa pembejeo kwa dola ya Marekani. Lakini watalazimika kulipa mikopo hiyo kwa fedha za Kitz. Kwa njia hiyo wakulima hao masikini wanaibiwa. Chadema waende huko wawaelimishe wanavijiji juu ya haki zao za msingi na kuwaelewesha kuwa TZ bila CCM inawezekana. Chadema fungueni matawi kila mahali vijijini na mijini. Achaneni na hizo posho za kiwizi za wabunge wachumia tumbo. Kuweni wawakilishi halisi wa wananchi na siyo wezi wa wananchi kwa kujilimbikizia posho lukuki huku mnaowawakilisha wakikosa hata mlo wa siku. Fanyeni hivyo muone jinsi wananchi watakavyowalipa 2015!!!
Mkuu Bweru tuko pamoja kwa saana, wakati ndio huu wa CHADEMA kwenda vijijini kwa watu wa hali ya chini wenye maisha duni kuwafundisha mbinu za kujikomboa toka makucha ya mafisadi, mla ni mla leo mla jana kala nini??????????
 
Tunahitaji wadau waje na mapendekezo:-
Kwa mfano; kama kadi zikiuzwa na maagent kwa bei tuseme Tshs 2000/= @ kila kadi moja chama kikachukua Tshs 1500/=@ Agent akabaki na Tshs 500/=. sio mbaya.
Akisambaza kadi kumi tuu, anapata Tshs 5000/= kwa siku kama kuuza vocha vile!!! Chama kikiuza kadi (10,000) elfu kumi kwa siku kitu kinachowezekana, watapata Tshs 15,000,000/=.
Hayoyatakuwa mapato ya kuimalisha chama kama kufungua ofisi na kuwa na matawi mengi vijijini!!!!!!!!!!!

ukianza kusambaza kadi kama vocha au karanga matokea yake chama kitakuwa kinazoa kila mtu ambaye hajui sera za chama na miiko ya chama matokeo yake tunapata wanachama feki wasiojua sera za chama wanachama feki wanazaa viongozi feki then!! vurugu na migogoro isiyoisha then!!!! mwisho wa chama,. kabla ya kadi kwanza sera za chama zitoewa kwa undani wanaoiva ndio waopatiwe kadi na wawe makada!!!
 
hoja imetolewa na imeungwa mkono, naongeza pia ktk matokeo ya uchaguzi malalamiko ya chadema yalikua kwa usalama wa taifa na wataalam wa IT, nashauri CHADEMA waanzishe kitengo cha IT kitakachokua kinafuatilia prgm mpya zinazoingia na jinsi ya kuzuia udanganyifu unaoweza kufanywa uchaguzi ujao, naamini cdm 2na vijana wasomi na werevu we can do this 2 save our nation.
Kweli kabisa wapo vijana wasomi wazuri tuu wanaweza kufanya kazi nzuri!!!! Mradi tuu wapate maelekezo ili CHADEMA iwe imejiandaa na kukwepa hila za mafisadi wakati wa uchaguzi ukifika!!!!!!!!!!!!

 
Back ground ya chadema ni chaga development manifesto ilianzishwa pale lotter club kipindi cha miaka ya 92 kwa nia ya kuwakusanya wachaga katika kitu kimoja baada ya vuguvugu la vyama vingi wakaamua ku abbreviate chaga development manifesto to chadema ambayo ikatafsiliwa kama chama cha demokrasia na maendeleo na kupata usajili kama chama cha siasa chini ya mwenyekiti mzee mtei. Maana yangu ni kwamba chadema sio chama bali ni kampuni ambayo inatumia matatizo ya watanzania kama njia ya kujipatia ulaji kama huamini uchaguzi ujao wa chadema nenda kagombee nafasi ya juu ya chama utaonakinacho kupata au fuatilia kisa cha chacha wangwe na zitto wakusimlie.
Wacha kueneza uzushi na chuki, bila shaka wewe ni maghamba's kaa tayari tunayo mikakati kuwaondoa mafisadi wote TZ, chagua upande wako vizuri!!!!!!!!!!!
 
Inasikitisha sana kwa namna hali ya uchumi inakoelekea. Mfumuko wa bei haushikiki, Serikali za majiji na manispaa ziko mstari wa mbele kuakikisha kwamba hata zile ajira zisizo rasmi ambazo vijana wamejiajiri wanazifuta mijini ambako ndiko kwenye kitovu cha maslahi. Vijijini nako hali si shwari kwani kilimo hakina tija, wanachovuna hakitoshelezi kuwapatia angarau hata nusu ya kipato cha kuyandesha maisha yao kuelekea msimu mpya wa kilimo. Hapakinacho nishangaza ni kwamba sekta ya kilimo ikiongozwa wizara ya kilimo imekua ikibuni mradi kama kilimo kwanza lakini bila kuleta mabadiliko yoyote. Hivyo ninachelea kusema kwamba mtanzania wa sasa hana tena tumaini kutoka kwa serikali yake, kwa hiyo tunaweza kuchagua maisha ya ufukara wa makusudi ambao serikali yetu inatusukumia, au kusema yatosha na kufanya mageuzi ya kisiasa ambayo yatafanya watanzania kunufaika utajiri mkubwa wa raslimali za nchi hii ambao serikali ya sasa inatulangua. Ninaungana na harakati zozote ambazo zinalenga kumkomboa mtanzania kutoka mikononi mwa serikali ambayo ni walafi, wanyanyasaji, wasaliti, wapuuzaji, wasiojali, wabinafsi, walaghai, wababaishaji, waropokaji,wakandamizaji na wenye moyo usiotofautiana na makaburu. Chadema kwa sasa ndiyo chama cha watanzania ambacho kimeonyesha njia na nia ya kuiondoa serikali ya kidhalimu ya ccm kupitia sauti moja ya watanzania. Ninaunga mkono hoja.
 
Wapendwa wana JF bila shaka hamjambo,Asalaama Aleikhum; Bwana asifiwe!!!
Jamani natoa ushauri kwa chama cha CHADEMA, tegemeo la wanyonge wanaodhurumiwa Watanzania, fanyeni mambo ya uhakika yafuatayo:-

1. Kwanza kabisa hamasisha vijana wa vijijini ambao wako tayari kutumikia chama chetu, maana bila kuwa na vijana kwenye vijiji itakuwa vigumu kupata upenyo wa kupeleka sera za chama kwa jamaii!!!!!!

2. Tayarisha kadi, vipeperushi, matangazo ya sera za chama ili zifike vijijini kwa watu wa rika zote. Kusambaza kadi ni muhimu saana kuna watu wanapenda kuwa wanachama wa CHADEMA lakini hawajui watapata wapi kadi za chama.Peleka kadi nyingi vijijini tupate wanachama wapya wengi!!!!!!!! Nacho ni chanzo cha mapato ya chama!!!

3. Kipindi hiki ambacho watu wengine wana shughuli zingine ni muhimu kujitangaza kwa watu wa vijijini ( grass root), huko kuna wananchi wengi wanataka kujua habari za CHADEMA, msingojee mikutano ya hadhara watu wengine hjawafiki huko.

4. Kutokana na hali mbaya ya uchumi watu wanausongo na hii serikali ya CCM inayopandisha bei za kila kitu, kuanzia sukari, mafuta, sabuni hadi chumvi, watu wanataka njia mbadala kuondoa kero za majanga ya gharama za maisha na CHADEMA ndilo jibu lao wanatakiwa kuelezwa wajiandae!!!

5. Wakati huu wa kujivua maghamba ni muafaka kusambaza sera kwa watu wa kawaida, kama huku Arusha kina mama yeyo,Leighwanani, siankiki na molani wanataka kujua ukombozi utatoka wapi?????????
Wadau wa mapambano ya ukombozi wa TZ nawakilisha!!!!!!!!!


Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa, wao wenyewe wameshindwa kukomboa familia zao , kuwakomboa watanzania wataweza wapi ? waanzie majumbani mwao kwanza

 
Craaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa, wao wenyewe wameshindwa kukomboa familia zao , kuwakomboa watanzania wataweza wapi ? waanzie majumbani mwao kwanza

Umekurupuka wapi Brain Zero, craaaap iko wapi sasa au umelewa dengerua!!!!!!!!!!! Familia ipi hiyo ambayo haija kombolewa, tunazungumzia taifa letu lote la Tanzania sio familia moja ndugu, upo???????????

 
Chadema tunawategemea.huo ni mtego wa serikali ya kijambazi ya ccm.msikubali kuchukua posho hiyo.kuna mtego.wa kuwamaliza.tulieni fanyani kazi.sisi tupo nje tunataka mheshimiwa slaa aje ili tuwe na mpango wa kuichangia wabunge wetu msipokee pesa sawaaaaaaaaaaaaa.kasi mpya na nguvu mpya .mwendo mdundooooooooooooooooooooooooo.mpaka kieleweke.wanatapa hao tuwamalizie sasaaaaaaaaa.kwishaaaaaaaaaa,wanatofautiana spika na katibu wake .maana yake nini.watanzania tuna akili sisi sio maboga sawa spika anna.
 
mkuu kijiji gani hicho ambacho hawajaelewa somo???????????????



cdm kijiji.JPG
 
Hoja hii imeungwa mkono na asilimia kubwa sana ya wajumbe. Mi nadhani asilimia kubwa ya waunga hoja wanatoka vijijini pia, so nashauri wawasiliane na ofisi za CDM mikoani mwao ili wapange mikakati ya namna ya kuanzisha mashina na matawi vijijini kwao. Ni wananchi wenye uzalendo tu ndio watakaoweza kuikomboa nchi hii kutoka mikononi mwa mafisadi. Kule vijijini sio tu kwamba wanahitaji ukombozi wa kisiasa, bali wanahitaji ukomboz katika nyanja zote maana vijijini ndio makao makuu ya Ujinga, Umaskini na Maradhi. Kazi hii tukiiacha kwa chama (CDM) pekee kwa kweli itakuwa tupo kinadharia. Naunga hoja mkono na nipo tayari kwenda kufungua tawi na shina huko mkoani Ruvuma ndani ndani kbs.
 
Hoja hii imeungwa mkono na asilimia kubwa sana ya wajumbe. Mi nadhani asilimia kubwa ya waunga hoja kuna vijiji wanatoka so ningeshauri wawasiliane na ofisi za CDM ili wakaanzishe mashina na matawi vijijini kwao. Wazalendo wa nchi hii sio lazma wawe waliofika chuo kikuu, ndio watakao ikomboa nchi hii. Kule vijijini wanahitaji tu sio ukomboz katika nyanja zote. Kazi hii tukiiacha kwa chama kwa kweli itakuwa tupo kinadharia. Naunga hoja mkono na Nipo tayari kwenda kufungua tawi na shina huko mkoani Ruvuma ndani ndani kbs.
Hapo Mkuu Patriote umesema kweli watu wote tukiwa na moyo huo basi itakuwa kazi nzuri, inatakiwa kila mtu mahali alipo ahamasishe watu!!!! Swala kubwa ni kadi na bendela za chama zisambazwe nchi nzima, watu waone kuwa CHADEMA wapo kazini, nakwambia wengi watajiunga na chama kuimalisha upinzani, matokeo yake yatakuwa mazuri!!!!!!!!!

 
Back
Top Bottom