Udikteta ni moja ya staili ya uongozi ukiacha demokrasia na uholela. Staili zote zinafaa kutumika isipokuwa mtumiaji aangalie ni katika mazingira gani na staili gani itumike kwa faida ya nani. Hivyo udikteta unaruhusiwa kwenye uongozi ila uwe kwa manufaa ya wengi na siyo mtu binafsi.