Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,899
- 32,310
- Thread starter
- #41
Baada ya kijiuliza swali la msingi jiulize pia kwa nini ilikuwa viongozi wa chadema wawindwe?!, jiulize pia, kama Mwangosi ameweza kuuwawa mbele ya maofisa wa jeshi la polisi wanao linda amani na usalama wa raia na bado wako makazini, je wangewauwa viongozi wa chadema wanao ichachafya serikali wangefanywaje?!
Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
Kuna vitu vingi vilikuwa vimejificha, Marehemu Mwangosi (R.I.P) alikuwa ni mfuasi wa Chadema kumbe.