Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Chadema wanataka vyombo vya ulinzi vifanye kazi yao kwa matakwa yao badala ya matakwa ya taaluma mpaka sasa hivi hakuna hata kiongozi mmoja wa Chadema aliefungwa kwa sababu za kisiasa halafu wanasema wananyanyaswa..
Kama policcm wanaweza kuzuia mkutano wa Chadema Iringa lakini wakajipanga kwa wingi kulinda mkutano wa ccm Bububu, na wewe kwa kutumia kichwa chako cha kuku huwezi kuona kwamba huo ni ushahidi tosha kwamba policcm hawatumii sheria wala taaluma katika kufanya kazi zao basi hata hiki unachojaribu kukilalamikia hapa ni pumba tupu.
Watu wasiofuata sheria na kanuni za uendeshaji wa chama lazima wawajibishwe kwa mujibu wa katiba, kanuni na taratibu zilizopo. Chadema si sawa na ccm msiokuwa na uwezo wa kuwajibishana kwakuwa wote ni ni wezi na kwahiyo hakuna wa kumnyooshea mwenzake kidole.
Hapa tulipofika tunahitaji sana viongozi wanaosema na kutenda wanayoyasema, si viongozi wanaozurura kila siku na kuacha nchi ikiyumba bila mwelekeo na hawawezi kuchukua maamuzi magumu kwakuwa wao wenyewe ni dhaifu sana.