GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kutokana yale yanayoendelea hivi sasa kwa CHADEMA , ni wazi kabisa CHADEMA sio chama cha siasa , ni chama cha WANAHARAKATI.
Kwa hivyo wanatakiwa wajibadilishe kutoka uana harakati kuwa wanasiasa, la sivyo wabadilishe usajili kwani wana harakati wanajulikana wapi waliposajiliwa kama TGNP , TAWLA etc . Ni vyema wakajiunga na hivyo vyama vya uana harakati , huo ni ushauri wa bure !
Kwa hivyo wanatakiwa wajibadilishe kutoka uana harakati kuwa wanasiasa, la sivyo wabadilishe usajili kwani wana harakati wanajulikana wapi waliposajiliwa kama TGNP , TAWLA etc . Ni vyema wakajiunga na hivyo vyama vya uana harakati , huo ni ushauri wa bure !