Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,200
- 3,761
Pompo inaonekana huyu jamaa kakukera kama mimi,atatafuta kila sababu lakini chadema kinasonga mbele kina mkakati wa kututoa hapa tulipo lakini Mtatiro na ccm-B yake watabakia kulalama wakati wenzake wa chadema wanasonga mbele. Mwisho wa siku mwananchi ndiye mwamuzi si porojo za watu aina ya Mtatiro.