Mods hebu wekeni hili debe pembeni kwanza kwa mwezi mzima maana linapika kelele mno ni tu na lina distruct kwa kweli .
kaka na wewe kama unalipwa unavyoitetea CDM??? cha msingi ni kusubiri kama utabiri wake utakuwa kweli au la. Kama unataka mabadiliko nia tu inatosha sio mpaka uwe shabiki wa CDM kwani kumbuka nao ni wanasiasa, mwisho wa siku yatakuwa yale yale. Mabadiliko yako juu yako na wala sio juu Ya CDM kwani wao wanataka uongozi km hao magamba ambao unawachukia.... UENDA SIKU MOJA UTANIKUMBUKAWewe ndio mfa maji.
Wewe na chama chako cha Magamba mnaotukanana wenyewe kwa wenyewe hadharani ndio mtadumu.? Huna kazi nyingine ya kufanya? Unalipwa sh ngapi kuleta thread za kipuuzi hivi? Vipi yale matusi mliyotukana wananchi wa Mwanza ndio sera yenu mpya.?
Kama sera za CHADEMA zingekuwa nyoofu, Watanzania wangeshafahamu ni wapi chama kinatupeleka. Lakini mpaka leo hii hakuna hata mtanzania mmoja anaweza kuthubutu kusema anaelewa ajenda za CHADEMA. CHA AJABU NI KWAMBA HATA WALE, wanachama wakereketwa wa chama hicho nao hawafahamu. Katika mazingira hayo hayo unategemea hatima ya chama hichi ni ipi.
Baada ya kuisoma CHADEMA nikaelewa kuwa hiki ni chama cha nguvu ya SODA kinachotapatapa sawa na Simba mfa maji anayehangaikia survival yake. Hii inaonyesha wazi kuwa mfarakano ndani ya chadema ni sambamba na kukuwa kwa chama hicho. Hii ni kwa sababu CHAMA hicho hakina DIRA.
Utabiri wangu ni kwamba kama CHADEMA itavuka salama uchaguzi ujao mkuu basi kifo chake kitakuwa mwaka 2017. Tuombe uhai!