Bollo Yang
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 440
- 50
Nchi ipo mikononi mwetu chadema.............
CDM wa JF labda! unafikiri Tanzania nzima yote ipo humu JF??
Nchi ipo mikononi mwetu chadema.............
Ni Kweli Chadema ni zaidi ya R. Madrid Hii ni kama Man U!
Peoplessssssssssssssssssssssss Power!
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na Kanisa
ni vigumu sana kutofautisha ccm na msikiti
1.jk
2.bilal
3. Shein
4. Seif
Magamba yamevuliwa na yanatakiwa kuondolewa kabisa5. Mizengo Pinda
6. Bernard Membe
7. Edward Lowassa
8. Andrew Chenge
5. Mizengo Pinda
6. Bernard Membe
7. Edward Lowassa
8. Andrew Chenge
Ni vigumu sana kutofautisha Chadema na Kanisa
Endelea tu kuota ndoto za mchana ! hii nchi haichukuliwi kwa maandamano au wingi wa watu mikutanoni, ni zaidi ya ufikiriavyo
Hapo kwenye blue siku Dk Slaa akiondoka Chadema na ndio siku hiyo chama kinakufa kifo cha kawaida
Hapo kwenye blue siku Dk Slaa akiondoka Chadema na ndio siku hiyo chama kinakufa kifo cha kawaida[/QUOTE
pole sana.. naona ukisikia hilo jina unapata heart attack