masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,879
- 13,163
- Thread starter
- #21
Mama mimi siyo mbu mbu mbu, namfahamu sana Bob, na nimewahi hata kunywa naye kanywaji pale Bp Petrol Station, Bagamoyo Rd, zaidi y miaka 15 iliyopita, alikuwa mtu mstaarabu sana na gari lake nalifahamu fika.Kesho ukirudi ukakuta Mercedes 2.3, VX na Verossa zimepaki ndani pia utahitimishaje? Kwamba ni za marehemu toka CDM?
Kama alishindwa kuhudumia usafiri wake mambo mengine je?
Dr Slaa kafika hapo kumjulia hali mara ya mwisho lini?