Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
zitto ni political prostitute
wewe ulishakuwa kama toy hapa JF watu walishakupuuzaChadema ni mali yake na mkwe wake Mtei
Mbowe amebadilisha katiba ili awe mwenyekiti wa milele Chadema wote mko.kimya hakuna wa kumuuliza sababu chama ni cha ukoo wake na mkwe wake Mtei
Mbona mnajishtukia sana? Hapo umesema kwa fumbo tu kwamba; kuondolewa kwa zitto ni kufuata taratibu na kanuni(katiba) ya chama, au sio?Chadema ni chama makini sana kinafuata katiba kanuni na sheria walizojiwekea bila upendeleo wowote wa kuangalia nyadhifa ya mtu au kiongozi yeyote ndani ya chama
ukiwa mwanachama wa chadema lzm ufuate katiba kanuni na sheria
mwalimu nyerere alipata kusema kiongozi yeyote lzm afuate katiba ya nchi na ndio maana kiongozi yeyote ataapisha kwa katiba
hoja za kijinga sanaKatiba ya chadema ni ya hovyo ndio maana Shibuda akaichoma moto
umeandika ukweli halali ambao magamba hayataki kusikia hata mara moja .
Kubali kataa mbowe bonge la kamabda
Mbowe ndio kiongozi pekee wa upinzani nchini aliyeweza kuitingisha ccm kwa kiwango cha hali ya juu kuliko kiongozi mwingine yeyote ule katika historia ya vyama vyingi nchi tanzania
sasa hizi vijana wa zitto kutoka act na ccm watakuja kutukana
ccm walitaka zito awe mwenyekiti wa Cdm