Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Makamba anapong'atuliwa alishamwandaa mwanae na ameshika sehemu nyeti ya secretarieti, Mwinyi mwanae ni waziri, Nape baba yake alikuwa kiongozi mwandamizi, Kikwete mwanae kiongozi umoja wa vijana nk. huu ndio uongozi wa ukoo anaotakiwa Nape auongelee na una mizizi miaka mingi kulilko kuhangaikia chama ambacho hata hakijashika dola.