Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
Mkuu mbona umesema Military University umekosea au ni mimi siwezi kusoma vyema na kuelewa kitu hapa ?
Hata mimi kanishangaza. Hv mzumbe ni military university? Kwa kigazo gani na tangu lini?
Mkuu mbona umesema Military University umekosea au ni mimi siwezi kusoma vyema na kuelewa kitu hapa ?
Waambieni wasisahau kuhutubia changarawe kuna watoto tuliowaacha enzi zetu wanafaa kujiunga na CDM
Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
Watatuliaje wakati watu wanakufa ma-dr wamegoma, vijana wako mitaani hakuna ajira....
iyo namba 2 umemaanisha lusinde au silinde? ,kwa ninavyofahamu lusinde ni ccm na sio chadema.Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.
sipendi siasa vyuoni zinawagawa wanafunzi
Watazunguka sana ahadi zao huku majimboni hata moja hazijatekelezwa. Mdee tangia achaguliwe Kawe hakuna la maana hata moja zaidi ya usista duu tu, barabarani zote Mbovu wenzake wa majimbo mengine zinategenezwa yeye kucha kutembea tu
Watazunguka sana ahadi zao huku majimboni hata moja hazijatekelezwa. Mdee tangia achaguliwe Kawe hakuna la maana hata moja zaidi ya usista duu tu, barabarani zote Mbovu wenzake wa majimbo mengine zinategenezwa yeye kucha kutembea tu
bila shaka wewe sio mkazi wa jimbo la kawe.
Chuo cha vilaza mzumbe tangu lini kimekuwa military university?
Hata mimi kanishangaza. Hv mzumbe ni military university? Kwa kigazo gani na tangu lini?
Wakati watu wako Davos wanatoa takwimu za "Manufacturing of teachers"
Mh! Mkubwa hapo pekundu vipi?
Hallo wana-jf,
siku ya tar 28-jan{jumapili} makamanda wa CDM watakuwepo MZUMBE university.
Mpaka sasa board za matangazo zinaeleza viongozi wafuatao watakuwepo:-
1.Zitto
2.Lusinde
3.Mdee
4.Mnyika
5.Msanii Sugu.
6.Tundu Lissu.
Wakiongozwa na katibu mwenezi,bwana John Mnyika.
Nitakuwepo kwnye mkutano kama "jf presenter" kuwapa full update.
Ahsante.