Jusa ni ****
jussa wewe si ulisema "cuf ilishindwa uzini kwasababu kuna watu wengi watokao bara na pia kuna wakristo wengi"
orodha ya visingizio haijaisha tu?
Hivi mbona matamko kuhusu Uzini hayamuishi Jussa, kuna nini cha ajabu?
Chadema hawajatoa ripoti rasmi ya fedha na tathmini ya Uchaguzi wa Uzini. Hayo mengine ya Jusa ni uwongo na propaganda ya Kisiasa. Lakini yeye Kama Kiongozi wa Kisiasa simshangai sana.