JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
..labda wengine mmesahau kilichotokea kwa ripoti ya kamati ya Jaji Mkuu Francis Nyalali.
..halafu kuna vitimbi alivyofanyiwa Jaji Robert Kissanga.
..mwisho uchakachuaji uliofanywa ktk ripoti ya Prof.Samuel Mwita Wangwe kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki.
..utaratibu wa kuunda Tume za Raisi hapa kwetu umekuwa na matokeo mabaya ndiyo maana wanaharakati wanapendekeza utaratibu tofauti.
..halafu kuna vitimbi alivyofanyiwa Jaji Robert Kissanga.
..mwisho uchakachuaji uliofanywa ktk ripoti ya Prof.Samuel Mwita Wangwe kuhusu Jumuiya ya Afrika Mashariki.
..utaratibu wa kuunda Tume za Raisi hapa kwetu umekuwa na matokeo mabaya ndiyo maana wanaharakati wanapendekeza utaratibu tofauti.