Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
mmeshawahi kusikia kumpigia mbuzi gitaa?
chadema kuwa na wachagga kadhaa kwenye nafasi za uongozi basi ni Ukabila
CCM kuwa na waislamu wengi kwenye nafasi za juu za uongozi siyo udini ni historia
CCM inaongozwa na Ibara 15:1 na hakuna chochote ambacho kinaweza kuwafanya CCM waone tofauti. Wao wana "standard" yao halafu wana standard ya "wengine wote".
chadema kuwa na wachagga kadhaa kwenye nafasi za uongozi basi ni Ukabila
CCM kuwa na waislamu wengi kwenye nafasi za juu za uongozi siyo udini ni historia
CCM inaongozwa na Ibara 15:1 na hakuna chochote ambacho kinaweza kuwafanya CCM waone tofauti. Wao wana "standard" yao halafu wana standard ya "wengine wote".