Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Nimemiss zile kampeni zetu misikitini uchaguzi wa 2000... Ilikuwa magnifico kwa kweli!
Zisubiri, zitaanza tena 2015 ambapo mgombea wa upande wa pili atakapokuwa ameteuliwa kupitia sisiem.
Nimemiss zile kampeni zetu misikitini uchaguzi wa 2000... Ilikuwa magnifico kwa kweli!
Wakumbuke wakikifuta chama wananchi watakataa. Hivyo inabidi wayatatue kwanza yanayolalamikiwa na Chadema watanzania wapate nafuu ya maisha alafu wawategee wananchi wakiwa wamesahau uchungu wa haya maisha ndiyo wakifute Chama lakini kwasasa watanzania wengi hawana cha kupoteza kwenda barabarani
nauli ya daladal nayo imeshapandaWe acha hizo nao wanaakili hawatadhubutu kwani Jay wa K anajua hatukumchagua na waTZ wameamka hawatakifuta na wakijaribu utaona waTZ wa 2010 - 2015 wakoje. Wee juzi January sukari 1kg Tsh.1400/= sasa Tsh.2000/= Sembe 1kg. Tsh.400 sasa Tsh.600 halafu wale wanaosema ukweli wafutwe Mtanzania gani atakubali na kukaa kimyaa??? Labda matajiri wa CCM nao ni wachache mnoooooooo!
Very true,
Binafsi asbh ya leo nimekutana na kuongea ANA KWA ANA na mh. Tendwa, na amenieleza hivi (very briefly)
Kwa ufupi ni maongezi yangu binafsi nae mheshimiwa juu ya suala hilihili na ni ya ana kwa ana, source ni MIMI MWENYEWE MPEVU. Jana pia walikuwa TBC1 kuweka sawa mambo hayahaya.
- Ya kwamba chadema walishapewa ONYO toka kwa msajili juu ya nyendo za kufanya siasa.
- Ya kwamba kusiwepo na cheche zenye muamsho wa kuvunja amani.
- Kwamba...hatosita kukifuta chama hicho.
- Ameshawaita na kuwaeleza jinsi ya kufanya siasa, mwendo wao utaangukia mrama
- Anatambua kuwa inapata misaada toka Germany na mwezi uliopita wajerumani walikuwepo nchini.
- Anatambua wanapata msaada toka chama cha Republican cha USA.
- Anajijua kuwa kwa kipindi hiki anawindwa sana.
- Ameshawahi kuvifuta vyama vya siasa na hashindwi kukifuta chama hicho.
- Kuna mambo mengi akiainisha 'criminal offense' juu ya chama hicho, ila ameshawaandikia ONYO kali.
em toeni propaganda hapa. kama vipi kamsaisieni chiligati kazi kabisa tujue1. kama chadema kikifutw si wafuasi tunabaki na itikadi zake!! kwani itikadi nazo zinafutwa?? hivi mu watu gan msokua na uchungu na hii nchi.??
Ukisema Chadema=Uma unakosea,maana Uma ni Watz wote sasa ckukubalii kwamba Watz wote ni Chadema,nyie wanachadema ndio mtajiju na hao wajerumani na wamarekani wenu kama alivyoeleza Mh hapo juuTukumbuke......mwili unaweza kufa bali roho huishi milele.
Chadema (mwili) kinaweza kufutwa lakini azma ya umma (roho) ya kutaka ukombozi itaishi milele.
Infact, azma hii itahuishwa zaidi pale Chadema kitakapofutwa - kosa ambalo watawala wataja kulijutia milele!!
Kwa hali iliyopo ni dhahiri chadema kinaweza kufutwa na viongozi wake kuwekwa ndani kama wahaini. Ccm wametoa tamko, msajili katoa tamko. Hivyo ni dhahiri chadema haina muda duniani. Nachouliza sie wapenzi wa CDM Tuhamie chama gani baada ya hapo.
Very true,
Binafsi asbh ya leo nimekutana na kuongea ANA KWA ANA na mh. Tendwa, na amenieleza hivi (very briefly)
Kwa ufupi ni maongezi yangu binafsi nae mheshimiwa juu ya suala hilihili na ni ya ana kwa ana, source ni MIMI MWENYEWE MPEVU. Jana pia walikuwa TBC1 kuweka sawa mambo hayahaya.
- Ya kwamba chadema walishapewa ONYO toka kwa msajili juu ya nyendo za kufanya siasa.
- Ya kwamba kusiwepo na cheche zenye muamsho wa kuvunja amani.
- Kwamba...hatosita kukifuta chama hicho.
- Ameshawaita na kuwaeleza jinsi ya kufanya siasa, mwendo wao utaangukia mrama
- Anatambua kuwa inapata misaada toka Germany na mwezi uliopita wajerumani walikuwepo nchini.
- Anatambua wanapata msaada toka chama cha Republican cha USA.
- Anajijua kuwa kwa kipindi hiki anawindwa sana.
- Ameshawahi kuvifuta vyama vya siasa na hashindwi kukifuta chama hicho.
- Kuna mambo mengi akiainisha 'criminal offense' juu ya chama hicho, ila ameshawaandikia ONYO kali.