engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
haya wanachadema mnataka kutupeleka wapi sasa kwani Mbunge wa wawi Mh Hamad Rashid amesema kuwa nanukuu Napenda kuthibitisha kauli yangu kuwa wenzetu CHADEMA wana siri nzito na usalama wa Taifa hili na si vinginevyo. Ni vyema Watanzania sasa kutumia akili za kuwakwepa CHADEMA ambao wanataka kuleta agenda yao ya siri isiyo na lengo la kulinda amani ya Taifa.
sasa wana chadema umefika wakati wa kutueleza wanajamii tukatambuwa mna agenda gani ya siri juu ya usalama wa nchi yetu?
Tambueni kuwa hii nchi inahitaji kulinda AMANI iliyonayo sasa ni vyema tukatambuwa kama hayo aliyo yasema Mh mbunge yana ukweli ndani yake,ili kila mmoja wetu aweze kuanza kujiandaa na hiyo agenda yenu juu ya amani ya nchi hii.
sasa wana chadema umefika wakati wa kutueleza wanajamii tukatambuwa mna agenda gani ya siri juu ya usalama wa nchi yetu?
Tambueni kuwa hii nchi inahitaji kulinda AMANI iliyonayo sasa ni vyema tukatambuwa kama hayo aliyo yasema Mh mbunge yana ukweli ndani yake,ili kila mmoja wetu aweze kuanza kujiandaa na hiyo agenda yenu juu ya amani ya nchi hii.