Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Mbona unalazimisha kisichowezekana! Amri jeshi wa ukweli wa Tanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Hata kama humpendi lakini mpe cheo chake ndg yangu,we muite Jk kuwa ndiye Amiri Jeshi Mkuu na bado utaendelea kuwa mpinzani wala hutoonekana msalitiKwani si ameshatekeleza maagizo? Unachotaka zaidi ni nini? nafirahi kwani ametii amri halali ya amirijeshi mkuu wa ukweli slaa!