CHADEMA na sera yao ya majimbo

msemakweli

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,627
880
Hivi ni kwa nini CHADEMA wameshindwa kwenda bungeni na kuintroduce sera yao ya majimbo? clearly suala la serikali tatu limeibua mjadala mzito na huenda hata likakwamisha mpango mzima wa kupatikana kwa katiba mpya kwa hiyo, one would think, its now time for a compromise. middle ground ambayo kila mtu atakubali na mjadala wa katiba mpya utaendelea bila utata. mimi personally sina chama chochote ninachokipenda kuliko kingine, vyote vina strenghths na weaknesses zake. lakini, i am an avid fan of world politics na one fact stands out; ukiangalia nchi zote zilizoendelea, zina mfumo huu wa serikali (devolution of power); Marekani, Afrika kusini, Ujerumani, Uingereza, Brazil, Urusi na hata Kenya. Faida za kuwa na mfumo huu wa serikali ni kibao, soma hapa kama unataka info zaidi (Devolved system of govt may just be what Tanzania needs - Letters - www.theeastafrican.co.ke) PS; sorry i could not translate the whole article. if u think u can help please dont hesitate.
 
Hivi ni kwa nini CHADEMA wameshindwa kwenda bungeni na kuintroduce sera yao ya majimbo? clearly suala la serikali tatu limeibua mjadala mzito na huenda hata likakwamisha mpango mzima wa kupatikana kwa katiba mpya kwa hiyo, one would think, its now time for a compromise. middle ground ambayo kila mtu atakubali na mjadala wa katiba mpya utaendelea bila utata. mimi personally sina chama chochote ninachokipenda kuliko kingine, vyote vina strenghths na weaknesses zake. lakini, i am an avid fan of world politics na one fact stands out; ukiangalia nchi zote zilizoendelea, zina mfumo huu wa serikali (devolution of power); Marekani, Afrika kusini, Ujerumani, Uingereza, Brazil, Urusi na hata Kenya. Faida za kuwa na mfumo huu wa serikali ni kibao, soma hapa kama unataka info zaidi (Devolved system of govt may just be what Tanzania needs - Letters - www.theeastafrican.co.ke) PS; sorry i could not translate the whole article. if u think u can help please dont hesitate.

Muongo mkubwa eti huna chama: waongo na wazinzi ni katika ziwa la moto!! ole wako!!

Mtoa mada ni kweli umekosea. Hakuna binadamau anayeweza ku-equalise mapenzi. Hapo ulipo najua ni Manzese, Ukitembea mitaani ukakuta kuku wanapigana, utajikuta unapenda mmoja anyukwe, itakuwa vyama vya siasa? unaweza kuwa huna kadi lakini bado kuna inclination.

Kuhusu mfumo wa serikali pamoja na maoni ktk The EastAfrican, uko sahihi lakini hii ni TZ na hiyo ni CCM. Angalia uwezo wa viongozi wa CCM. anzia juu ufanye versus comparison kati ya CCM, CHADEMA na CUF. Angalia wanavyojibu maswali hapo ndo utaona tatizo liko wapi.

Hali ya sasa ni CCM kujisikia kushika hatamu, ile notion ya miaka ya 1970s. Wengi hawajui kama wanastahili kukosolewa na hata kujirekebisha hata uwafundishe namna gani. ni kama tunavyoambiwa shetani alikosa tangu hiyo zama na hadi leo hajaweza kubadilika.
 
Mtoa mada ni kweli umekosea. Hakuna binadamau anayeweza ku-equalise mapenzi. Hapo ulipo najua ni Manzese, Ukitembea mitaani ukakuta kuku wanapigana, utajikuta unapenda mmoja anyukwe, itakuwa vyama vya siasa? unaweza kuwa huna kadi lakini bado kuna inclination.

Kuhusu mfumo wa serikali pamoja na maoni ktk The EastAfrican, uko sahihi lakini hii ni TZ na hiyo ni CCM. Angalia uwezo wa viongozi wa CCM. anzia juu ufanye versus comparison kati ya CCM, CHADEMA na CUF. Angalia wanavyojibu maswali hapo ndo utaona tatizo liko wapi.

Hali ya sasa ni CCM kujisikia kushika hatamu, ile notion ya miaka ya 1970s. Wengi hawajui kama wanastahili kukosolewa na hata kujirekebisha hata uwafundishe namna gani. ni kama tunavyoambiwa shetani alikosa tangu hiyo zama na hadi leo hajaweza kubadilika.
Okay. i doubt my political inclinations matter here but if u must know, i am more to the left. Centre left. i dont know which parties in the country identify themselves as such.
Ni kweli ulichokisema kuhusu CCM, i think inabidi washtuliwe kidogo ili wajue kwamba nchi si mali ya chama na kwamba nchi ni kubwa kuliko chama chochote kile. Hii sera ya majimbo naifagilia sana ndio maana nikawa nasupport CHADEMA, lakini kusema kweli wameniboa sana kwenda huko kung'ang'ania serikali tatu badili ya moja alongside mfumo huo wa majimbo. inawezekana kuwa na serikali moja bila kufuta uwepo wa SMZ, and this is the only way!
 
Okay. i doubt my political inclinations matter here but if u must know, i am more to the left. Centre left. i dont know which parties in the country identify themselves as such.
Ni kweli ulichokisema kuhusu CCM, i think inabidi washtuliwe kidogo ili wajue kwamba nchi si mali ya chama na kwamba nchi ni kubwa kuliko chama chochote kile. Hii sera ya majimbo naifagilia sana ndio maana nikawa nasupport CHADEMA, lakini kusema kweli wameniboa sana kwenda huko kung'ang'ania serikali tatu badili ya moja alongside mfumo huo wa majimbo. inawezekana kuwa na serikali moja bila kufuta uwepo wa SMZ, and this is the only way!

Baada ya miaka 50 ya muungano bila kuwa na serikali moja, hakuna sababu ya kufikiria tena serikali moja. Miaka ya 60s move ilikuwa ni Africa moja. Miaka hii huwezi tena fikiria kitu kama hicho. Tanzania kuendelöea kusema ina matumaini ya serikali moja, is just another way of not learning from the past.

CHADEMA wako sahihi kabisa kwa kutaka serikali tatu. Hivyo ndo ilivyo ktk ubinadamu. Human mind is for independent thinking and not for collective agreement. Ndivyo ilivyo ktk ndoa. Lengo ni kuishi pamoja lakini ikiwa hapana kwa miaka 20, kwa nini ulazimishe kuishi na mtu. Simply divorse!

Hebu waangalie hao jamaa wa CCM na serikali mbili. Hakuna hata mmoja aliye na mpangilio uwe namna gani. yaani wamekataa tatu lakini hizo mbili hawajui ziweje! Nonsense!
 
Baada ya miaka 50 ya muungano bila kuwa na serikali moja, hakuna sababu ya kufikiria tena serikali moja. Miaka ya 60s move ilikuwa ni Africa moja. Miaka hii huwezi tena fikiria kitu kama hicho. Tanzania kuendelöea kusema ina matumaini ya serikali moja, is just another way of not learning from the past.

CHADEMA wako sahihi kabisa kwa kutaka serikali tatu. Hivyo ndo ilivyo ktk ubinadamu. Human mind is for independent thinking and not for collective agreement. Ndivyo ilivyo ktk ndoa. Lengo ni kuishi pamoja lakini ikiwa hapana kwa miaka 20, kwa nini ulazimishe kuishi na mtu. Simply divorse!

Hebu waangalie hao jamaa wa CCM na serikali mbili. Hakuna hata mmoja aliye na mpangilio uwe namna gani. yaani wamekataa tatu lakini hizo mbili hawajui ziweje! Nonsense!
Kama tutachagua kuanza mfumo wa serikali tatu basi UKAWA warudi bungeni wakatueleze jinsi ya kuiimarisha hiyo serikali ya muungano ili isiwe hafifu, egemezi na tegemezi kama ilivyoproposiwa sasa kwenye rasimu ya katiba. Hofu ya watu wengi, mimi nikiwepo, ni kwamba udhaifu na uhafifu wa hiyo serikali ya tatu utatucost muungano wetu. Hebu waiongezee vyanzo vya mapato na mamlaka ili iweze hata kujiendesha yenyewe independently bila ya kutegemea goodwill ya serikali za washirika.
Mwisho, watuelezee ni namna gani tutaingia kwenye Shirikisho la Afrika Mashariki kama nchi moja na si nchi mbili tofauti kwa huu mfumo wa serikali tatu. Ukiangalia hayo mambo ya muungano utaona kwamba majukumu yote hayo yatachukuliwa na hiyo serikali ya Afrika Mashariki, effectively making the federal gvt of tanzania useless!
Wakifanya hayo nitawaona wa maana sana!
Mfumo wa serikali mbili ni outright matatizo. Either moja na majimbo, au tatu. lakini siyo mbili. Foolishness is doing the same thing over and over while expecting different results!
 
Okay. i doubt my political inclinations matter here but if u must know, i am more to the left. Centre left. i dont know which parties in the country identify themselves as such.
Ni kweli ulichokisema kuhusu CCM, i think inabidi washtuliwe kidogo ili wajue kwamba nchi si mali ya chama na kwamba nchi ni kubwa kuliko chama chochote kile. Hii sera ya majimbo naifagilia sana ndio maana nikawa nasupport CHADEMA, lakini kusema kweli wameniboa sana kwenda huko kung'ang'ania serikali tatu badili ya moja alongside mfumo huo wa majimbo. inawezekana kuwa na serikali moja bila kufuta uwepo wa SMZ, and this is the only way!
Mimi ni mmojawapo wa waumini wa serikali tatu kutokana na umuhimu wake kwa ustawi wa wananchi.....lakini kwa hatua tuliyopo imenibidi niwe mpole si kwa sababu chadema wameshindwa kutetea hoja yao hapana,waliitetea sana ila wananchi kwa kudanganywa kwa hoja dhaifu haikupita kwenye maoni ya wananchi,so kinachojadiliwa pale ni maoni ya wananchi na sio mengine ndo maana unaona vita iliyopo ya serikali 2 au 3,swali kwa ccm ya serikali 2 imetoka kutoka kwenye Rasimu ipi?So nawe hapo kuwa mpole tu.
 
Hivi ni kwa nini CHADEMA wameshindwa kwenda bungeni na kuintroduce sera yao ya majimbo? clearly suala la serikali tatu limeibua mjadala mzito na huenda hata likakwamisha mpango mzima wa kupatikana kwa katiba mpya kwa hiyo, one would think, its now time for a compromise. middle ground ambayo kila mtu atakubali na mjadala wa katiba mpya utaendelea bila utata. mimi personally sina chama chochote ninachokipenda kuliko kingine, vyote vina strenghths na weaknesses zake. lakini, i am an avid fan of world politics na one fact stands out; ukiangalia nchi zote zilizoendelea, zina mfumo huu wa serikali (devolution of power); Marekani, Afrika kusini, Ujerumani, Uingereza, Brazil, Urusi na hata Kenya. Faida za kuwa na mfumo huu wa serikali ni kibao, soma hapa kama unataka info zaidi (Devolved system of govt may just be what Tanzania needs - Letters - www.theeastafrican.co.ke) PS; sorry i could not translate the whole article. if u think u can help please dont hesitate.



Maombi yangu kwa Kamati Kuu ya CDM pamoja na mikwamo ya kawaida na yenye mikono ya Dola kwenye Uchaguzi huu-2015. Hitaji la kubadili mfumo wetu wa Utawala Nchi hii uko pale pale! .Kwa vile safari hii Uwapo wa UKAWA umewezesha kutupa nafasi ya kuaminiana na wenzetu wa CUF , NCCR-Mageuzi na wengineo basi nafasi hii itumike kuomba sera hii ya Serikali za Majimbo iwe sehemu ya Katiba zao ili tauanza kusonga mbele taratibu kuelekea lengo.

Uwapo wa Serikali ya Majimbo kama utakubalika utatuondoelea jinamizi la Muungano !
Na kazi hii ipewe Idara maalumu ndani ya CDM itakayo ratibu kila kitu kuhusiana na mfumo mpya wa majimbo wakati huo ikisaidia kujenga mahusianao na vyama vingine kufanikisha Mfumo huu:
Katika kufanikisha hili napendekeza kama atakubali Balozi Mwapachu kwa uzoefu wake atawape mchango wake kwenye eneo hilo ,bado na amini umri haujamtupa sana!



Some of his posts prior to his appointment as the Secretary General of the EAC were:



cc Tumaini Makene
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni kwa nini CHADEMA wameshindwa kwenda bungeni na kuintroduce sera yao ya majimbo? clearly suala la serikali tatu limeibua mjadala mzito na huenda hata likakwamisha mpango mzima wa kupatikana kwa katiba mpya kwa hiyo, one would think, its now time for a compromise. middle ground ambayo kila mtu atakubali na mjadala wa katiba mpya utaendelea bila utata. mimi personally sina chama chochote ninachokipenda kuliko kingine, vyote vina strenghths na weaknesses zake. lakini, i am an avid fan of world politics na one fact stands out; ukiangalia nchi zote zilizoendelea, zina mfumo huu wa serikali (devolution of power); Marekani, Afrika kusini, Ujerumani, Uingereza, Brazil, Urusi na hata Kenya. Faida za kuwa na mfumo huu wa serikali ni kibao, soma hapa kama unataka info zaidi (Devolved system of govt may just be what Tanzania needs - Letters - www.theeastafrican.co.ke) PS; sorry i could not translate the whole article. if u think u can help please dont hesitate.

Nadhani baada ya agenda ya Katiba mpya kufa kifo cha Membe ni muda sasa CDM ikajitathimini kuona wamefika wape na sera hii ya majimbo ambayo kimfumo wa Chama tayari walikwisha anzakuifanyia kazi.
 
Back
Top Bottom