CHADEMA na Sera Makini...

Vancomycin

Senior Member
Jan 7, 2011
171
111
Katika kudhihirisha kuwa CHADEMA ni chama makini na ni chama ambacho kina sera zenye mashiko serikali ya CCM imekuwa inaendeleza utekelezaji wa sera za chama hicho ambazo mgombea wake wa urais Dr.W Slaa alikuwa akizinadi katika kampeni zake za kugombea urais.
1.Dr.Slaa katika kampeni zake alieleza adhma yake ya kuunda baraza dogo lenye tija ambapo CCM imetekeleza hilo kwa kiasi chake kwa kupunguza ukubwa wa bara hilo
2.Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ilieleza bayana mpango wake wa kubadili katiba mbali ya kuwa hoja hii ni ya muda mrefu na mgombea wake kukosa urais wabunge wake waligomea hotuba ya rais mbali ya kejeli na matusi waliyopata walisimamia kile walichoamini CCM inatekeleza hilo kwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya ambayo kila mtu anaifurahia.
3.Leo UVCCM wamekuja na jingine la kuvunjwa kwa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu na kuunda bodi ya mikopo yenye tija jambo ambalo limezungumzwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CHADEMA 2010.

Kwa hayo machache hapo juu hii inadhihirisha sera nzuri za CHADEMA na ukomo wa uwezo wa kufikiri na kubuni kwa viongozi wa CCM na kukopa sera za wapinzani.Pengine tutarajie mengine mengi.
 
naaaam naaaamm....... Asante sana, u really r a great thinker, mwanzoni nilikua najua ni swala la katiba tu, kumbe kuna ya ziada,, kweli chadema chama makini. We can conclude that dr.slaa is the president of tz but he is just working out of the white house.sera za mkwere hazzitekelezeki hata 1, za slaa taifa zima linaona zinavyotekelezeka.
 
a piece of treasure for this night... go get the upthrust..you are nearly there..the atrocities of the ruling party are no longer in safe modality...they will be ousted soon with the power of the people
 
Katika kudhihirisha kuwa CHADEMA ni chama makini na ni chama ambacho kina sera zenye mashiko serikali ya CCM imekuwa inaendeleza utekelezaji wa sera za chama hicho ambazo mgombea wake wa urais Dr.W Slaa alikuwa akizinadi katika kampeni zake za kugombea urais.
1.Dr.Slaa katika kampeni zake alieleza adhma yake ya kuunda baraza dogo lenye tija ambapo CCM imetekeleza hilo kwa kiasi chake kwa kupunguza ukubwa wa bara hilo
2.Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ilieleza bayana mpango wake wa kubadili katiba mbali ya kuwa hoja hii ni ya muda mrefu na mgombea wake kukosa urais wabunge wake waligomea hotuba ya rais mbali ya kejeli na matusi waliyopata walisimamia kile walichoamini CCM inatekeleza hilo kwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya ambayo kila mtu anaifurahia.
3.Leo UVCCM wamekuja na jingine la kuvunjwa kwa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu na kuunda bodi ya mikopo yenye tija jambo ambalo limezungumzwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CHADEMA 2010.

Kwa hayo machache hapo juu hii inadhihirisha sera nzuri za CHADEMA na ukomo wa uwezo wa kufikiri na kubuni kwa viongozi wa CCM na kukopa sera za wapinzani.Pengine tutarajie mengine mengi.

1."Tutaanza mchakato wa kuandaa katiba mpya ndani ya siku 90 za kwanza ikulu"
2.Akiwa geita,..."Jk anafanya kila ninacho mwambia kufanya,nipeni ridhaa ili nisimamie mwenyewe mawazo yangu"

We have a president out of Ikulu but leading the nation,Dr.W.P.Slaa
 
1."Tutaanza mchakato wa kuandaa katiba mpya ndani ya siku 90 za kwanza ikulu"
2.Akiwa geita,..."Jk anafanya kila ninacho mwambia kufanya,nipeni ridhaa ili nisimamie mwenyewe mawazo yangu"

We have a president out of Ikulu but leading the nation,Dr.W.P.Slaa

Asante kwa kunikumbusha kuwa adhma yenyewe imetanganzwa mkwere hajafikisha hata cku mia moja alizosema Doctor(Phd)
 
M/kITI dj NA kATIBU mKUU NI ASKOFU!! hIKI CHAMA KITAIPELEKA TANZANIA WAPI ???
 
M/kITI dj NA kATIBU mKUU NI ASKOFU!! hIKI CHAMA KITAIPELEKA TANZANIA WAPI ???
Huyu eti anaitwa senior expert sijawahi mwona akichambua hoja yenye mashiko hata moja yeye ni Slaa padri basi hoja iliyosinyaa.
 
Huyu eti anaitwa senior expert sijawahi mwona akichambua hoja yenye mashiko hata moja yeye ni Slaa padri basi hoja iliyosinyaa.


Expert yoyote hawezi kuwasifia viongozi wa chadema ambao hawana uzoefu wala elimu ya mshiko yakuweza kuelewa mambo, DJ na Askofu watatupeleka wapi Wa Tanzania ?? hii ndio point ya ku-discus

Nifahamishe hawa watu wanaokurupuka katika maamuzi yao, watatufaa wa Tanzania ? Chama kimejaa ukabila, udini na siasa za chuki na hawa viongozi wanshindwa kukemea, wana relux kanakwamaba hakuna tatizo ni kwasababu hawana uwezo wa kuona na kuelewa
 
Expert yoyote hawezi kuwasifia viongozi wa chadema ambao hawana uzoefu wala elimu ya mshiko yakuweza kuelewa mambo, DJ na Askofu watatupeleka wapi Wa Tanzania ?? hii ndio point ya ku-discus

Nifahamishe hawa watu wanaokurupuka katika maamuzi yao, watatufaa wa Tanzania ? Chama kimejaa ukabila, udini na siasa za chuki na hawa viongozi wanshindwa kukemea, wana relux kanakwamaba hakuna tatizo ni kwasababu hawana uwezo wa kuona na kuelewa

huwezi kuwa expert!! wewe na huyu View attachment 20960 ni kitu kimoja kama jina lako linavyosema!!!
 
Snr expert acyejua kati ya ccm na dr slaa nani anakurupuka?endeleeni kutekeleza sera za cdm mpaka mtie adabu vilaza nyie,mnajificha kwenye kati la udini hautawasaidia kitu
 
Expert yoyote hawezi kuwasifia viongozi wa chadema ambao hawana uzoefu wala elimu ya mshiko yakuweza kuelewa mambo, DJ na Askofu watatupeleka wapi Wa Tanzania ?? hii ndio point ya ku-discus

Nifahamishe hawa watu wanaokurupuka katika maamuzi yao, watatufaa wa Tanzania ? Chama kimejaa ukabila, udini na siasa za chuki na hawa viongozi wanshindwa kukemea, wana relux kanakwamaba hakuna tatizo ni kwasababu hawana uwezo wa kuona na kuelewa
The samething same point DJ, Askofu, padre, sometimes try to think of different topic to discuss unabore.
 
M/kITI dj NA kATIBU mKUU NI ASKOFU!! hIKI CHAMA KITAIPELEKA TANZANIA WAPI ???

ukiona panya amekatiza sebuleni ujue anataka kufahamika.
Familia ya panya,Baba panya, mama panya, watoto?poleni najua mashaka ndo yametawala
 
Katika kudhihirisha kuwa CHADEMA ni chama makini na ni chama ambacho kina sera zenye mashiko serikali ya CCM imekuwa inaendeleza utekelezaji wa sera za chama hicho ambazo mgombea wake wa urais Dr.W Slaa alikuwa akizinadi katika kampeni zake za kugombea urais.
1.Dr.Slaa katika kampeni zake alieleza adhma yake ya kuunda baraza dogo lenye tija ambapo CCM imetekeleza hilo kwa kiasi chake kwa kupunguza ukubwa wa bara hilo
2.Katika ilani ya uchaguzi ya chadema ilieleza bayana mpango wake wa kubadili katiba mbali ya kuwa hoja hii ni ya muda mrefu na mgombea wake kukosa urais wabunge wake waligomea hotuba ya rais mbali ya kejeli na matusi waliyopata walisimamia kile walichoamini CCM inatekeleza hilo kwa kuanzisha mchakato wa katiba mpya ambayo kila mtu anaifurahia.
3.Leo UVCCM wamekuja na jingine la kuvunjwa kwa bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu na kuunda bodi ya mikopo yenye tija jambo ambalo limezungumzwa kwenye ilani ya uchaguzi ya CHADEMA 2010.

Kwa hayo machache hapo juu hii inadhihirisha sera nzuri za CHADEMA na ukomo wa uwezo wa kufikiri na kubuni kwa viongozi wa CCM na kukopa sera za wapinzani.Pengine tutarajie mengine mengi.

Ongeza na hii ya kuongeza muda wa elimu ya msingi kuwa mpaka kidato cha nne.
 
Expert yoyote hawezi kuwasifia viongozi wa chadema ambao hawana uzoefu wala elimu ya mshiko yakuweza kuelewa mambo, DJ na Askofu watatupeleka wapi Wa Tanzania ?? hii ndio point ya ku-discus

Nifahamishe hawa watu wanaokurupuka katika maamuzi yao, watatufaa wa Tanzania ? Chama kimejaa ukabila, udini na siasa za chuki na hawa viongozi wanshindwa kukemea, wana relux kanakwamaba hakuna tatizo ni kwasababu hawana uwezo wa kuona na kuelewa
Nadhani wewe ni mtoto wa fisadi na inawezekana uko unajaribu kumtetea babaa yako. Kwa taarifa yako watoto wa mafisadi hamwezi kuwa na akili kuzidi watoto wa walalhoi. Shule siku zote huwa inawapiga chenga na zaidi huko nje mnakula unga tu kama mateja wa bongo. Muda wa kufaidika na ufisadi unafika kikomo na kama mko nje mbaki hukohuko maana si muda mrefu wazazi wenu watawafuta hukohuko nchi inarejeshwa mikononi mwa wananchi.
Mabadiliko yanayovuma si kwa sababu ya chadema ni uamuzi wa wtz baada ya kuchoka na utawala wa ccm. Hivyo haijalishi ni nani ataongoza haya mapambano lengo ni kuong'oa utawala usiokuwa na faida kwa walio wengi.
 
mende ana tabia kuu mbili kunya kabatini na kulala chooni.mende bwana...
bull ni
images
 
Back
Top Bottom