kambipopote
Senior Member
- Nov 15, 2010
- 122
- 22
Mkuu,
Nilikuwepo wakati mh Mbowe alipoendesha tamasha la vijana pale Makumira University.
Alisema kuwa kwasasa wabunge wote wa Chadema wanunue magari ya 4WD, maana kazi imeanza, na hakuna kijiji ambacho wataacha kukikanyaga nchi hii....
Pia alisema kuwa waage kabisa majumbani kwao, maana hawana mudA mrefu, wataondoka kuelekea vijijini kuanza kujenga chama...
Hiyo inaonyesha wazi kuwa wana mipango mahsusi kabisa ya kuanzia kwenye grassroot kujenga chama.
Asante kwa taarifa:clap2: