George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 147
Halima James Mdee duh.... na Fransis mbatia mmmh.... jamaa atakua alikua anatetemeka akili.
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi anaitwa James Francis Mbatia
Mbunge wa jimbo la Kawe anaitwa Halima James Mdee