Chadema na nccr vyafunga ndoa

hongereni kwa ndoa.sasa kafulila atahamia cdm au atang'ang'ania nccr mana huu muungano kwake ni changamoto kubwa sana.
 
Hongera dada Halima,mambo yako safi sasa.angekunyima ulaji huyu jamaa
 
huu muungano ni muhimu kwa sasa kuliko kipindi kingine chochote kilichopita.kazi ipo kwa kafulila sijui atakimbilia wapi.mana alishaanza kujisogeza cdm sasa wenzao wame merge.
 
Back
Top Bottom