MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Niajabu kuona online polls mbali mbali zipo in favour of CHADEMA lakini wamekuwa kimya na kujisifu ili hali wakijua matokeo hayo hayana credibility yoyote sababu ni asilimia 1.5 ya watz mil40 wenye access ya net ndio wame vote tena hata mara 100 kwa mtu mmoja,
Hili bado halijaingia kwenye vichwa vya wana-mageuzi wa JF.
Maranyingi namna hii ya lawama ni kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa wao wanaonewa hivyo waonewe huruma na kupewa kura na pia kujiandaa pindi watakaposhindwa wapata sababu ya kusemea
Wana saikolojia na sosholojia wanaita "PLAYING VICTIM" Ni kama mtu anayejitundika na kuacha ujumbe kwamba amefanya hivyo kwa kuonewa na jamii, hivyo jamii inamzika huku ikimwonea huruma na kujilaumu kwa kusababisha kifo chake!!!
Kuna kosa moja kubwa sana CHADEMA wanalo lifanya kutokujua nguvu ya CCM ipo wapi?
Kudai tu tume mara masajili, polisi ni vya CCM hivyo tunaonewa haileti mantiki, wananchi wakiwaamini hata mtawala amiliki nini mtashinda tu[/COLOR][/COLOR] paulss
Sina nyongeza, umeongea nilichotaka kukiongelea