Elections 2010 Chadema na Mazagazaga ya CCM

Wameogopa kutajwa kwa sababu zile zile zinazotufanya tusitaje majina yetu hapa.
Siku ukiacha kuitwa Kibunango, nakutumia jina lako halisi ndipo na wewe kaharufu hako katakuwa mbali nawe rafiki?
Siamini kila ambaye hataki kutaja jina lake ni fisadi. Wengine wana sababu za muhimu kabisa ambazo wakizisema hata sisi tutakubali kwamba si vema wazitaje.
Wengine ndio wanaotuletea dataz hapa sasa wakitajwa hapo si tumepunguza link?.
Hapo umeteleza, kwani masuala ya vyama ni tofauti sana na hapa kwenye forums. Kumbuka kuwa hao wafanyabiashara walikataa kutajwa ama kuandikwa kwenye vyombo vya habari.

Hii ina maana kuwa wanajulikana na uongozi mzima wa Chadema na wale wote ambao walihudhuria halfa hiyo ya kupokea mazagazaga ya CCM. Labda uje na sababu nyingine lakini sio hii ya kufananisha mkutano na shughuli za hapa JF
 
Cowards die many times before their real deaths.Courage is not an absence of fear but a judgement that something is better than fear!

Waukimbie ufisadi kisha bado waendelee kuitwa mafisadi, Jina litakalowafaa ni wazomea mafisadi
 
Waukimbie ufisadi kisha bado waendelee kuitwa mafisadi, Jina litakalowafaa ni wazomea mafisadi[/QUOTE]
 
Huyo mtumba Chacha Kigua si ndio yule aliyebuni mradi wa Parking System na Ubungo Bus terminal akaendesha kwa faida halafu Kingunge Kombare Mwiru akampora juu kwa juu? Parking tenda ikabebwa na Kinje, Bus Terminal ikatekwa na Mama Kingunge. Hivi huyu Mzee bado utajiri wake uko pale pale? Ni mfanyabiashara mzuri sana tatizo hana akili kama za Kingunge ndio maana amezidiwa ujanja!


...........ndiyohiyo
 
Kwa ufupi kaka/dada hapo juu ni kwamba Chadema wanalamba matapishi ya CCM....
 
Kwa siku za karibuni tumeshuhudia makada wengi wa chama cha mapinduzi wakiamia chadema kwa kasi zaidi.,hali hii ilivuta umakini wangu nikashawishika kutaka kujua ukweli wa mambo ulivyo ili nipate kujua nini chanzo cha wao kuihama ccm na nini matarajio yao katika chadema.

Kwa utafiti wa kimawazo nilioufanya nimepata kugundua ongezeko kubwa la wale walioondoka ccm ni baada ya uchaguzi kura za maoni ambapo wao walishindwa kupendekezwa na wanachama wa ccm. Hali hii ilinifanya nijiulize mengi na kunisukuma kutaka kuelewa nini hasa kilitokea katika mchakato huo hususani katika majimbo ya makada hawa.,na majibu niliyonayo ni kwamba watu hawa hawakupitishwa kugombea nafasi za uongozi kutokana na kutotekeleza wajibu wao ipasavyo,utendaji mbovu uliopelekea kushuka imani ya wanachama na wananchi kwa ujumla.,wengi wao ni wabinafsi,waliokosa uadilifu na wasiopenda kushindwa katika jambo,kitu ambacho si sifa za kiongozi bora.


Kwa bahati mbaya,chadema wamewapokea watu hawa kwa mikono miwili na kuwapa nafasi za juu kiuongozi bila kuzingatia matakwa ya wanachama wao na wadau. nilisikitika sana k kuwa watu hawa wamekuja chadema ili tu lengo lao la kutoshindwa na jambo lolote litimie. Kutokana na kukosekana kwa uadilifu kwa baadhi ya viongozi wa chadema walidiriki hata kuwakata wagiombbea wao wakongwe na wenye nia njema na mapenzi ya kweli katika chama na kuwaweka watu hawa mfano mpendazoe kule segerea,ilihali wanachama wa chadema walimkataa na kutomhitaji kufikia kuandamana kupinga hili lakini bado kwa kutumia nguvu na uwezo wa kimamlaka slaa na viongozi wengine wa juu wa chadema walionesha dharau kiubwa kwa wanachama hawa kwa kutowasikiliza hoja zao na kuamuru kuwa uamuzi wao ni wa mwisho.

Hili limekuwa la kawaida sana kwa viongozi wa chadema kutozingatia matakwa ya wanachama katika kumweka madarakani mtu wanaomtaka wao pia kumuwekea majungu na mizengwe kila yule aliyekataa kuburuzwa na wao hili linaushahidi kutoka katika sakata la hayati chacha wangwe pale alipopinga mbowe kulipwa milioni kumi.


Kwa kifupi ni kuwa,watu hawa hawatakiwi kuaminiwa.,kamwe mtu ambae anajitangaza kutokana na mapungufu ya mwingine si mtu wa kumuamini hasa katika duru za siasa ambapo imani ya watu ni kitu cha msingi katika kufanikisha muamala wowote wa kisiasa. Hivi watu hawajiulizi kuwa watu hawa walikuwa wakisema nini pindi wako ccm na leo wanasema nini wakiwa kama upinzani.,hivi ni kweli kuwa kuhama kutoka chama kimoja na kuingia chama kingine ndio kipimo cha utendaji na uwajibikaji wa mtu binafsi.,mi kipimo cha ukweli na ufanisi.,sijaona wala kusikia kuwa shibuda aliondoka ccm kwa kuwa ccm ni mbaya na aliliona hili mapema .,kama ni hivyo kwa nini asilizungumze mapema ikiwa yeye ni mkweli na mpenda haki.,wakweli kama hayati chacha wangwe walipoona matatizo katika chama walisema na kuandika itilafu hizo..,

kwanini shibuda asubirie mpaka akose support katika kuchukua fomu ya kugombea urasi kwa tiketi ya ccm ndipo aamue kuhama.,na kama alikuwa na vigezo stahiki kwanini asiliseme hilo na nafasi alipewa..,sijapata kusikia shibuda akilisema baya lolote la ccm siku zote wakati yupo ccm au hayo mabaya anayoyaongea wakati huu hayakuwepo wakati huo..? badala yake akaamua kufuta nia na kisha kuhama chama akiamini huko chadema atapewa nafasi ya urais ili atimize yale aliyoyaweka moyoni mwake..,hivi ni kweli mtu wa aina hii anauchungu wa kweli na analengo la kuwapeleka watanzania katika njia ya ukombozi…?


Ndugu zangu watanzania kwa viongozi hawa tusitegemee mwisho mwema…!
 
Mpaka sasa hivi, Augustees wamevunja record hapa JF:

Suley

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join Date Tue Aug 2010
Posts 2
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
 
Mwafrika babu, In a forum like this, a man is represented by his HOJA. That is is his weapon. He present a mada and wadau wanachangia. Now, for the Jamii Forum to have it appropriate mchango katika jamii--then wachangiaji should engage katika mada appropriately. Simplifying things like this is soo trivial. This new guy kaingia kaweka mada yake. And you completely ignored his contribution to the forum, instead you chose to highlight his newbie-ness. Come ooon maaan! That is so cheap, and now everybody will jump on the fact that he is new, hajui kitu, katumwa and what what.

Seriously mwamba, you are defeating the whole point of having a platform like this. If all we do is gamesmanships and simplifying rather serious Hojas. And if the hojas are flawed, then debunk them. Use your keyboard and your google image search innovation appropriately.
 
Cha kushangaza zaidi hawa newcomers wengi wao wala hawabishi mlango. Hawahitaji kukaribishwa. Unakuta mtu anaweka bandiko la kwanza likiwa ya ajabuajabu au malalamiko fulani. Duh! mwaka huu na hasa mwezi huu kuna kazi!
 
Nafikiri mtoa mada ana issue ingawaje issue yenyewe iko skewed up.

Hata akiwa mgeni katika fora bado hoja yake ijadiliwe na kutolewa mawazo ya kuisahihisha/kuiboresha kama inavyostahili.

Kwa mawazo yake yeye anafikiri ukitemwa na CCM ndio mwisho wa dunia , hakuna mahali kwingine kwa kukumbilia.Haya ni mawazo potofu yenye mentality ya chama kimoja.

Nani hajui mizengwe iliyo pikwa kuwatema wagombea wanaohisiwa kuwa maadui wa kundi la RA,Lowassa na Mafisadi kwa ujumla.

Kuna wengi walio pikiwa mizengwe lakini wameweza kupita kwa kishindo, mfano ni Ole Sendeka.Kwa waliokuwa hawana mfuko wa kutosha kununua makada tunajua walikoishia.

Kwani kuhamia Chadema ni dhambi? si chama kilichoandikishwa kisheria?

Sasa hivi watanzania wengi wataanza kupiga kura si kutazama rangi ya bendera ya chama bali kwa kuona mpiga kura mwenyewe anafaidika vipi na sera au chama chenyewe.

Demokrasia ya sasa ya vyama vingi ni kukipigia kura kile kinachoweza kukuendeleza kimaslahi.
 
Mwafrika babu, In a forum like this, a man is represented by his HOJA. That is is his weapon. He present a mada and wadau wanachangia. Now, for the Jamii Forum to have it appropriate mchango katika jamii--then wachangiaji should engage katika mada appropriately. Simplifying things like this is soo trivial. This new guy kaingia kaweka mada yake. And you completely ignored his contribution to the forum, instead you chose to highlight his newbie-ness. Come ooon maaan! That is so cheap, and now everybody will jump on the fact that he is new, hajui kitu, katumwa and what what.

Selemani, I will give you a huge benefit of doubt that you are not trying to tell me what and how to do what I do here.

Seriously mwamba, you are defeating the whole point of having a platform like this. If all we do is gamesmanships and simplifying rather serious Hojas. And if the hojas are flawed, then debunk them. Use your keyboard and your google image search innovation appropriately.

Selemani, I only pointed out the obvious - August is on the record for newbies. I compeletely ignored what was said coz I can. I dont have to respond, answer or say anything.

If I did what you expected me to do here, then, everything these forums stand for will cease to exist
 
Yaani wewe acha tu. Mwezi wa nane umevunja rekodi. Wengine ndio wamejiandikisha kwa mara ya kwanza lakini kuna wengi pia waliobadili ID....

Hii ni program maalumu toka Lumumba - si unaona selemani ameanza kuwatetea (painkiller ameipenda)... ha ha ha
 
Mwafrika babu, In a forum like this, a man is represented by his HOJA. That is is his weapon. He present a mada and wadau wanachangia. Now, for the Jamii Forum to have it appropriate mchango katika jamii--then wachangiaji should engage katika mada appropriately. Simplifying things like this is soo trivial. This new guy kaingia kaweka mada yake. And you completely ignored his contribution to the forum, instead you chose to highlight his newbie-ness. Come ooon maaan! That is so cheap, and now everybody will jump on the fact that he is new, hajui kitu, katumwa and what what.

Seriously mwamba, you are defeating the whole point of having a platform like this. If all we do is gamesmanships and simplifying rather serious Hojas. And if the hojas are flawed, then debunk them. Use your keyboard and your google image search innovation appropriately.
Kama kaandika upupu anajibiwa upupu vile vile.
 
Back
Top Bottom