CHADEMA na KUNFA YAKUN

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
647
266
Baada ya Mnyika kushinda kesi mmoja ya mashabiki wa GWANDA alibeba bango limeandikwa KUNFA YAKUNA na chini kwa kiarabu

inamaana CDM tayari washaingia kwa waislam na kuwachota au?

Kama kweli bas Gamba kazi wanayo kwani inaonekana kuwa CCM haiwezi kuendelea kujiamnisha kuwa itapata kura za waislam kirahisi rahisi
 
Baada ya Mnyika kushinda kesi mmoja ya mashabiki wa GWANDA alibeba bango limeandikwa KUNFA YAKUNA na chini kwa kiarabu

inamaana CDM tayari washaingia kwa waislam na kuwachota au?

Kama kweli bas Gamba kazi wanayo kwani inaonekana kuwa CCM haiwezi kuendelea kujiamnisha kuwa itapata kura za waislam kirahisi rahisi

Hans,

..unaweza kutupatia tafsiri ya kiswahili ya maneno hayo?
 
Baada ya Mnyika kushinda kesi mmoja ya mashabiki wa GWANDA alibeba bango limeandikwa KUNFA YAKUNA na chini kwa kiarabu

inamaana CDM tayari washaingia kwa waislam na kuwachota au?

Kama kweli bas Gamba kazi wanayo kwani inaonekana kuwa CCM haiwezi kuendelea kujiamnisha kuwa itapata kura za waislam kirahisi rahisi

Hans,

..unaweza kutupatia tafsiri ya kiswahili ya maneno hayo?
.

Mkuu JokaKuu ngoja nielezee alichokisema huyu HANS ROGER DIBAGULA .


Kun faya koon
... Be and it is.


Its an Arabic term mentioned in Quran which means When God Almighty intends some work to be done.. He just say Kun/"Be" and It is done already

Kwa hiyo kama Mungu akisema Kun (Kuwa) basi kila kitu kinakuwa ... akisema upate basi utapata ... akisema na iwe hivyo basi itakuwa hivyo

Pia katika Uumbaji alisema Kun (Iwe) dunia na Ikawa ... Ni nani mwenye uwezo wa kupingana na Kauli/uwezo wa Mungu?

'When He decrees a thing, He says to it only: "Be!" And it is.'


And it seems that as per the holy book that is how this world was created, instantly, with the phrase Kun Fayakun.

Ingawa kimaandishi huwa inatofautiana ... wengine wakiandika Kun Faya Kun ... Koon Faya Koon ... Kun Fayakun

Lakini ndio maaana yake kuwa Alipangalo Mola ... Hakuna atakayelipangua ... akisema KUN (Iwe) .. basi itakuwa

Hiyo ndio maana yake Mkuu.

.
 
.

Mkuu JokaKuu ngoja nielezee alichokisema huyu HANS ROGER DIBAGULA .


Kun faya koon
... Be and it is.


Its an Arabic term mentioned in Quran which means When God Almighty intends some work to be done.. He just say Kun/"Be" and It is done already

Kwa hiyo kama Mungu akisema Kun (Kuwa) basi kila kitu kinakuwa ... akisema upate basi utapata ... akisema na iwe hivyo basi itakuwa hivyo

Pia katika Uumbaji alisema Kun (Iwe) dunia na Ikawa ... Ni nani mwenye uwezo wa kupingana na Kauli/uwezo wa Mungu?

Hiyo ndio maana yake Mkuu.

.

Safi sana bro
 
yaani mimi jamani nikisikia mtu anashindwa kujenga hoja anaanza kutapika udini huwa naumwa kabisa
 
.

Mkuu JokaKuu ngoja nielezee alichokisema huyu HANS ROGER DIBAGULA .


Kun faya koon
... Be and it is.


Its an Arabic term mentioned in Quran which means When God Almighty intends some work to be done.. He just say Kun/"Be" and It is done already

Kwa hiyo kama Mungu akisema Kun (Kuwa) basi kila kitu kinakuwa ... akisema upate basi utapata ... akisema na iwe hivyo basi itakuwa hivyo

Pia katika Uumbaji alisema Kun (Iwe) dunia na Ikawa ... Ni nani mwenye uwezo wa kupingana na Kauli/uwezo wa Mungu?

'When He decrees a thing, He says to it only: "Be!" And it is.'


And it seems that as per the holy book that is how this world was created, instantly, with the phrase Kun Fayakun.

Ingawa kimaandishi huwa inatofautiana ... wengine wakiandika Kun Faya Kun ... Koon Faya Koon ... Kun Fayakun

Lakini ndio maaana yake kuwa Alipangalo Mola ... Hakuna atakayelipangua ... akisema KUN (Iwe) .. basi itakuwa

Hiyo ndio maana yake Mkuu.

.

Safi Sana


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
.

Mkuu JokaKuu ngoja nielezee alichokisema huyu HANS ROGER DIBAGULA .


Kun faya koon
... Be and it is.


Its an Arabic term mentioned in Quran which means When God Almighty intends some work to be done.. He just say Kun/"Be" and It is done already

Kwa hiyo kama Mungu akisema Kun (Kuwa) basi kila kitu kinakuwa ... akisema upate basi utapata ... akisema na iwe hivyo basi itakuwa hivyo

Pia katika Uumbaji alisema Kun (Iwe) dunia na Ikawa ... Ni nani mwenye uwezo wa kupingana na Kauli/uwezo wa Mungu?

'When He decrees a thing, He says to it only: "Be!" And it is.'


And it seems that as per the holy book that is how this world was created, instantly, with the phrase Kun Fayakun.

Ingawa kimaandishi huwa inatofautiana ... wengine wakiandika Kun Faya Kun ... Koon Faya Koon ... Kun Fayakun

Lakini ndio maaana yake kuwa Alipangalo Mola ... Hakuna atakayelipangua ... akisema KUN (Iwe) .. basi itakuwa

Hiyo ndio maana yake Mkuu.

.
Ndo maana Yesu ni 'neno' lake ! Allah SWT:
''(Maryamu akauliza): Mola wangu ! Nitapataje mtoto, hali mwanaume hakunigusa !? Akasema(Allah): Ndivyo vivyo hivyo; Mwenyezi Mungu huumba anavyopenda anapohukumu jambo, huliambia 'Kuwa' (basi) 'Likawa' ! Q:3:47.
 
Back
Top Bottom