Naogopa Ulimboka asije akasema kuwa CDM imehusika na kuratibu mpango mzima,aloo ! Sijui CDM watafanyaje.:spy:
Zanzibar nimeshasema ,kuwa watu wanakufa kila siku,hata mimi na wewe tupo kwenye waiting list huwezi kujua !Mkuu huchoki maana kila post au thread unayoianzisha ni ya CDM
Kuna watanzania wamekwama kwenye meli iliyozama kule hebu jipe muda uwafikirie kidogo kuliko kila time wewe na CDM
Kila thread ni issue ile ile hebu wafikirie kidogo watanzania waliopoteza maisha
Naogopa Ulimboka asije akasema kuwa CDM imehusika na kuratibu mpango mzima,aloo ! Sijui CDM watafanyaje.:spy:
Naogopa Ulimboka asije akasema kuwa CDM imehusika na kuratibu mpango mzima,aloo ! Sijui CDM watafanyaje.:spy:
Naogopa Ulimboka asije akasema kuwa CDM imehusika na kuratibu mpango mzima,aloo ! Sijui CDM watafanyaje.:spy:
hyu jamaa mwiba unamuwasha kweli kwenye masaburi,yaani kila dakika cdm huna cha kufanya?
Mambo yanaweza kugeuka jamani ,hela inatumika siku hizi .Kila kitu kujipanga ,mtakuja kuwacha midomowazi !
kwani wakati wa manabii au mitume watu walikuwa hawaulizi ?