Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Sikio la Kufa!
Mara mbili nimeonya kwa capacity yangu ya kuwa great thinker kuwa siasa ni mchezo mchafu , mara tatu nimesema siasa is a game and only brilliant players can do something.
CUF japokuwa walikuwa na nguvu sana visiwani na kufanikiwa kupata walichopata lakini bado wanaDOA kubwa ambalo haliwezi kufutika kirahisi katikatia ya umma wa watanzania hasa sisi tulio na dini zote mbili na wazazi wa dini zote mbili na tuliooa na kuona katika dini hizi mbili! CCM they said CUF ni chama cha magaidi na ni chama cha kiislamu, CUF hawakujitahidi kulirekebisha hilo. Umati wao, makusanyiko yao, wingi wao na salaam zao zilidhihirisha ule usemi wa kuwa ni chama cha kidini na kinapata misaada kutoka uarabuni. Bila kufanya jitihada za kujiondoa kwenye hili zigo la kinyessi CUF waliwathibitishia watanzania kwa vitendo, mikoa waliopita kufanya kampeni na mikoa wanayokubalika ni ile ambayo imetokea kijiografia kuwa na waislamu wengi kutokana na waarabu kufikia maeneo hayo. CUF leo hii imekufa huku bara, haihitaji kipimo cha daktari kujua hilo!
Mahasimu wangu wakubwa wa kisiasa na ambao huwa najaribu kuwafinya kisiasa CHADEMA nao wameingia kwenye mkumbo huu bila kujua au kwa kujua na kama kuzinduka hawajazinduka bado labda watafanya hivyo ikiishakuwa completely declared dead kama CUF.
Chadema kwa uelewa wangu na ufahamu wangu wa kutoegemea pande zozote IPO kwa AJILI ya maslahi ya taifa! hakina udini wala ukabila..LAKINI kwenye siasa sivyo inavyoonekana!
Goli ni goli hata kama ni la mkono, kwenye siasa unaweza ukashutumiwa au kuzushiwa kitu cha uongo na jamii ikakubaliana na uongo ule, hata kama utasema na kujitetea vipi, ukiisha sambaa NA KUSEMA SANA unaonekana ni ukweli!
Tangu Slaa alipoteuliwa na chama (au Mtei) kuwa mgombea urais..INTELIJINSIA au political expert wa chadema walitakiwa wawe aware na consequences za kumteua Slaa kuwa mgombea urais, si kuwa hafai JE MAKOMBORA YA UZUSHI YANAYOTUPWA, YALIYOTUPWA NA YATAKAYOTUPWA kwake je timu ya chadema iko tayari kiasi gani kuyazima??
Tuhuma za udini si siri zimeishaiua chadema. Nikisema hivi najua mwenye hasira wewe na yule mtahamaki.Kumbuka sentensi yangu ya kwanza, SIKO HAPA KUKUFURAHISHA WEWE MCHADEMA AU MCUF, rather nimekojua kuwaokoa na kama mkinshindwa kuyanunua manukato yangu basi hata matanga yenu hayatahudhuriwa na watu.
Chadema iko kwenye serious undisputable allegations that;
1. Msimamo wenu juu ya Zanzibar
2.Mikoa ile ambayo CUF imejikita kwa sababu 'zao' nyie huko hamko kwa sababu 'zenu'
4. Unnecessary majibizano na CUF ( refer mdahalo wa CUF na CDM kuhusu upinzani bungeni na post nyingi humu)
All those acts made PEOPLE TO CONFIRM THAT YOU ARE CATHOLICS!!
Huwa nasema kumpinga Waberoya humu kwa ushauri ambao naamini kabisa unatoka moyoni kwa malengo mazuri huwa HAIMFANYI MPIGA KURA KUBADILI MAWAZO..sio mimi ninae piga kura, msiwaze kwenye keyboard wazeni uko URAIANI!!
Kumbuka:
Wapiga kura huwa wanapiga kura na majibu ya kura ndiyo yanatangazwa ( assuming uchakachuaji haupo) Hivyo basi ni wajibu wa Chadema;
1. Kuuaminisha umma kuwa hauko affiliated na ukatoliki au ukristo kwa ujumla
2. Kuwa mko karibu sana na jamii ya kiislamu( hasa wale wafuata mkumbo) kwani wako waislamu smart kama walivyo wakristo smart na vice versa holds.
3. Kuwa SWALA LA IMANI na siasa ni very worst allegations that serious techniques should be engaged to deal with
4. Kutembelea mikoa yote ile ambayo CUF imejikita ili kuwa na sura ya kitaifa zaidi
5. Kuwa na sura ya usawa. HILI SI KWA SABABU HAMNA USAWA BALI KUUAMINISHA UMMA AMBAO UNAPIGA KURA na ambao hawana muda hata hawaijui JF!! kuchuja pumba na mchele!
6.Acheni majibizano ya kijinga na yasiyo na msingi na CUF, this is being taken as a confirmation that CDM ni wakristo na CUF ni waislamu
CUF walishaambiwa sana na sikio la kufa! CUF -bara imeishakufa na CCM waliishaiua vizuri tu. CCM pia wameiua chadema kwa silaha ile ile bila huruma! na Chadema kwa matendo yao WAKIFIRIA KUWA KILA MMOJA ANA PHD ya kupambanua! This assumption is deadly!!
Cuf and Cdm ikiwa mnalala na MNAAKA MKIWAZA JINSI GANI YA KURUSHIANA MAKOMBORA then HAMTUFAI ( CUF nimeisha-confirm siku nyingi na CDM I am confirming now)
If CDM will not take this seriously please buy sanda and coffin, will help you to buy manukato
KUNA WAKATI KWENYE SIASA MTALAZIMIKA KUFANYA TOFAUTI NA INAVYOTAKIWA KUFANYWA ILI TU KUWAFURAHISHA AU KUWATEKA WATU WA MAKUNDI FULANI ILI MUWAPATE, MIGAWANYIKO KAMWE HAILETI TIJA
ISSUE YA Zanzibar CDM tuliwaambia kuwa mkiingia kama nyie mtawateka wengi sana na mnaweza kabisa kuua CUF na CCM kwa sababu mtakuwa NYIE ( mwenye akili alipambanue hili), ni sawa na vibao vya muziki! Kila mmoja anatoka kivyake na mziki unauzika!
If at this very time some people will think this is an insult and not great thinker inputs(I am not boasting), I am sorry I was just remind you all that, when we need changes we also need challenges! If we are serious then you will easily notice that CUF and CDM are fooling us-Kutokufanya kampeni na kujitikita baadahi ya mikoa is a wasting our HOPES!
Finally kumbukeni, kuwabadilisha malimbukeni ni kazi, wanaowazushia tuhuma za udini ni malimbukeni then please, msiwajibu kama na nyie ni malimbukeni, SIASA seems hard in chadema. Should you need any advice on what to do kindly ask so.
Why I writing this? Tuhuma za Mufti dhidi ya chadema zimenishtua sana. They are not true at all, but what do we need to do? Refer this post!
Mara mbili nimeonya kwa capacity yangu ya kuwa great thinker kuwa siasa ni mchezo mchafu , mara tatu nimesema siasa is a game and only brilliant players can do something.
CUF japokuwa walikuwa na nguvu sana visiwani na kufanikiwa kupata walichopata lakini bado wanaDOA kubwa ambalo haliwezi kufutika kirahisi katikatia ya umma wa watanzania hasa sisi tulio na dini zote mbili na wazazi wa dini zote mbili na tuliooa na kuona katika dini hizi mbili! CCM they said CUF ni chama cha magaidi na ni chama cha kiislamu, CUF hawakujitahidi kulirekebisha hilo. Umati wao, makusanyiko yao, wingi wao na salaam zao zilidhihirisha ule usemi wa kuwa ni chama cha kidini na kinapata misaada kutoka uarabuni. Bila kufanya jitihada za kujiondoa kwenye hili zigo la kinyessi CUF waliwathibitishia watanzania kwa vitendo, mikoa waliopita kufanya kampeni na mikoa wanayokubalika ni ile ambayo imetokea kijiografia kuwa na waislamu wengi kutokana na waarabu kufikia maeneo hayo. CUF leo hii imekufa huku bara, haihitaji kipimo cha daktari kujua hilo!
Mahasimu wangu wakubwa wa kisiasa na ambao huwa najaribu kuwafinya kisiasa CHADEMA nao wameingia kwenye mkumbo huu bila kujua au kwa kujua na kama kuzinduka hawajazinduka bado labda watafanya hivyo ikiishakuwa completely declared dead kama CUF.
Chadema kwa uelewa wangu na ufahamu wangu wa kutoegemea pande zozote IPO kwa AJILI ya maslahi ya taifa! hakina udini wala ukabila..LAKINI kwenye siasa sivyo inavyoonekana!
Goli ni goli hata kama ni la mkono, kwenye siasa unaweza ukashutumiwa au kuzushiwa kitu cha uongo na jamii ikakubaliana na uongo ule, hata kama utasema na kujitetea vipi, ukiisha sambaa NA KUSEMA SANA unaonekana ni ukweli!
Tangu Slaa alipoteuliwa na chama (au Mtei) kuwa mgombea urais..INTELIJINSIA au political expert wa chadema walitakiwa wawe aware na consequences za kumteua Slaa kuwa mgombea urais, si kuwa hafai JE MAKOMBORA YA UZUSHI YANAYOTUPWA, YALIYOTUPWA NA YATAKAYOTUPWA kwake je timu ya chadema iko tayari kiasi gani kuyazima??
Tuhuma za udini si siri zimeishaiua chadema. Nikisema hivi najua mwenye hasira wewe na yule mtahamaki.Kumbuka sentensi yangu ya kwanza, SIKO HAPA KUKUFURAHISHA WEWE MCHADEMA AU MCUF, rather nimekojua kuwaokoa na kama mkinshindwa kuyanunua manukato yangu basi hata matanga yenu hayatahudhuriwa na watu.
Chadema iko kwenye serious undisputable allegations that;
1. Msimamo wenu juu ya Zanzibar
2.Mikoa ile ambayo CUF imejikita kwa sababu 'zao' nyie huko hamko kwa sababu 'zenu'
4. Unnecessary majibizano na CUF ( refer mdahalo wa CUF na CDM kuhusu upinzani bungeni na post nyingi humu)
All those acts made PEOPLE TO CONFIRM THAT YOU ARE CATHOLICS!!
Huwa nasema kumpinga Waberoya humu kwa ushauri ambao naamini kabisa unatoka moyoni kwa malengo mazuri huwa HAIMFANYI MPIGA KURA KUBADILI MAWAZO..sio mimi ninae piga kura, msiwaze kwenye keyboard wazeni uko URAIANI!!
Kumbuka:
Wapiga kura huwa wanapiga kura na majibu ya kura ndiyo yanatangazwa ( assuming uchakachuaji haupo) Hivyo basi ni wajibu wa Chadema;
1. Kuuaminisha umma kuwa hauko affiliated na ukatoliki au ukristo kwa ujumla
2. Kuwa mko karibu sana na jamii ya kiislamu( hasa wale wafuata mkumbo) kwani wako waislamu smart kama walivyo wakristo smart na vice versa holds.
3. Kuwa SWALA LA IMANI na siasa ni very worst allegations that serious techniques should be engaged to deal with
4. Kutembelea mikoa yote ile ambayo CUF imejikita ili kuwa na sura ya kitaifa zaidi
5. Kuwa na sura ya usawa. HILI SI KWA SABABU HAMNA USAWA BALI KUUAMINISHA UMMA AMBAO UNAPIGA KURA na ambao hawana muda hata hawaijui JF!! kuchuja pumba na mchele!
6.Acheni majibizano ya kijinga na yasiyo na msingi na CUF, this is being taken as a confirmation that CDM ni wakristo na CUF ni waislamu
CUF walishaambiwa sana na sikio la kufa! CUF -bara imeishakufa na CCM waliishaiua vizuri tu. CCM pia wameiua chadema kwa silaha ile ile bila huruma! na Chadema kwa matendo yao WAKIFIRIA KUWA KILA MMOJA ANA PHD ya kupambanua! This assumption is deadly!!
Cuf and Cdm ikiwa mnalala na MNAAKA MKIWAZA JINSI GANI YA KURUSHIANA MAKOMBORA then HAMTUFAI ( CUF nimeisha-confirm siku nyingi na CDM I am confirming now)
If CDM will not take this seriously please buy sanda and coffin, will help you to buy manukato
KUNA WAKATI KWENYE SIASA MTALAZIMIKA KUFANYA TOFAUTI NA INAVYOTAKIWA KUFANYWA ILI TU KUWAFURAHISHA AU KUWATEKA WATU WA MAKUNDI FULANI ILI MUWAPATE, MIGAWANYIKO KAMWE HAILETI TIJA
ISSUE YA Zanzibar CDM tuliwaambia kuwa mkiingia kama nyie mtawateka wengi sana na mnaweza kabisa kuua CUF na CCM kwa sababu mtakuwa NYIE ( mwenye akili alipambanue hili), ni sawa na vibao vya muziki! Kila mmoja anatoka kivyake na mziki unauzika!
If at this very time some people will think this is an insult and not great thinker inputs(I am not boasting), I am sorry I was just remind you all that, when we need changes we also need challenges! If we are serious then you will easily notice that CUF and CDM are fooling us-Kutokufanya kampeni na kujitikita baadahi ya mikoa is a wasting our HOPES!
Finally kumbukeni, kuwabadilisha malimbukeni ni kazi, wanaowazushia tuhuma za udini ni malimbukeni then please, msiwajibu kama na nyie ni malimbukeni, SIASA seems hard in chadema. Should you need any advice on what to do kindly ask so.
Why I writing this? Tuhuma za Mufti dhidi ya chadema zimenishtua sana. They are not true at all, but what do we need to do? Refer this post!