KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #101
mzazi shule inatakiwa hapa? nani kataja kuwa mbele ya cuf,ishu ni uchaguzi tuone mshindi nani kama cuf atafuatia no problem but cha muhimu ushindi wa ubunge kwa chadema acha kufikiri kwa makalio
Hivi hii kauli ya kitoto kufikiri kwa makalio nani aliwakaririsha?maana naona kila mwanachama wa chama cha vinega asipoiimba anakua hajakamilisha siku zake