dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,108
- 49,348
ukitulia na kusoma vizuri kwa kituo utagundua kwama umadandia mada bila kuielewa,yani umekurupuka kiufupi,hakuna mahali niliposema kwamba ni mimi ndio ninaesema bali nilichosema ni wapo wanaosema chadema nguvu zake zinaanzia namanga na kuishia njia panda ya Himo
Hivi unapoandika habari ni lazima uandike "haya, mimi nasema"? In short, (wewe) umemjuza huyo muungwana kwamba kuna wanaosema. Kisichoeleweka hapo ni kipi?