Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 71
CCM: Kwa sababu ya 'siasa zao uchwara' wamesababisha mbunge kipenzi wa wananchi wa Igunga ajiuzulu.
CDM: Walikuwa wa kwanza kumtangaza RA fisadi, wameendelea kumbana na kuibana Serikali imfikishe mahakamani kwa kumuhusisha na wizi wa Fedha za EPA kupitia Kagoda, msukumo ambao umepelekea wana CCM wamtake ajivue gamba, hivyo basi CDM wamechangia kwa kiasi kikubwa RA kujiuzulu.
CDM: Walikuwa wa kwanza kumtangaza RA fisadi, wameendelea kumbana na kuibana Serikali imfikishe mahakamani kwa kumuhusisha na wizi wa Fedha za EPA kupitia Kagoda, msukumo ambao umepelekea wana CCM wamtake ajivue gamba, hivyo basi CDM wamechangia kwa kiasi kikubwa RA kujiuzulu.