kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 598
- 143
Wanachama wa CDM mjini Morogoro wamefanikiwa kuuteka msiba wa mtoto wa kiongozi wa CCM na kugharamia chakula, sanduku na gari la kubeba mwili. Mfiwa alikubali msaada huo baada ya CCM wenzake kutomjali kwa kumpa msaada. Baada ya CCM kupata taarifa kuwa CDM wamekwisha umiliki msiba na mfiwa ameridhia, wana CCM wakavamia msiba huo na kutaka kuvuruga mazishi.
Viongozi wa Serikali ya mtaa walitumia mamlaka yao kuamuru jeneza lisiwekwe bendera ya CDM. Mwili ulipelekwa mazikoni bila ya sanduku kufunikwa bendera yoyote.
Siasa misibani zitatupeleka pabaya.
Source:ITV- Taarifa ya habari saa 2 usiku ambayo inaendelea sasa.
Viongozi wa Serikali ya mtaa walitumia mamlaka yao kuamuru jeneza lisiwekwe bendera ya CDM. Mwili ulipelekwa mazikoni bila ya sanduku kufunikwa bendera yoyote.
Siasa misibani zitatupeleka pabaya.
Source:ITV- Taarifa ya habari saa 2 usiku ambayo inaendelea sasa.