MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Hakika kama Mdau wa siasa za kweli nawapongeza kwa kutoa elimu kwa umma kwa hatua nliyofikia
1.Lusinde katukana wanawake wa Arumeru--Kipigo--Wanawake mtampa kura kwa aliyewatusiiiiiiii
2.Eneo la waliorudishiwa Ardhi---Ndio tumelitangaza na wameogopa hadi wakarudisha Ardhi---Haya ni matusi tunashukuru ila kura kwa CHADEMA.
3.Arumeru inaweza kuongozwa na ukoo wa kina Sumari tuuuu----Joshua apeweee
4.Muda ni mchache uliobaki--lazima tupige kampeni za kutembea na magari hasa maeneo ya wabibi,wababu na wamama
angalieni yaliyofanyika rombo kwa pesa mbili--kwa kauli zake za dharau
5.Wamama wamefedheleshwa sana na udhalilishaji matusi na kejeli za Lusinde..ni nyie tuuuu
6.Funga kazi kwa ushindi....hatuhitaji kuchelewa nipo Tengeru ndani hapa wazee nanikubali...nipeni nguvu...sambaeni zaidi keshooooooooo....
PEOPLES'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! JAPO NIPO CCM...Ninahitaji siasa za kweli
Badae
1.Lusinde katukana wanawake wa Arumeru--Kipigo--Wanawake mtampa kura kwa aliyewatusiiiiiiii
2.Eneo la waliorudishiwa Ardhi---Ndio tumelitangaza na wameogopa hadi wakarudisha Ardhi---Haya ni matusi tunashukuru ila kura kwa CHADEMA.
3.Arumeru inaweza kuongozwa na ukoo wa kina Sumari tuuuu----Joshua apeweee
4.Muda ni mchache uliobaki--lazima tupige kampeni za kutembea na magari hasa maeneo ya wabibi,wababu na wamama
angalieni yaliyofanyika rombo kwa pesa mbili--kwa kauli zake za dharau
5.Wamama wamefedheleshwa sana na udhalilishaji matusi na kejeli za Lusinde..ni nyie tuuuu
6.Funga kazi kwa ushindi....hatuhitaji kuchelewa nipo Tengeru ndani hapa wazee nanikubali...nipeni nguvu...sambaeni zaidi keshooooooooo....
PEOPLES'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! JAPO NIPO CCM...Ninahitaji siasa za kweli
Badae