kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
No sio hivyo tu mkuu.. Ameelezeaa maambo mengi aloyaftilia ikiwemo miradi ya barabara kibao ambayo anasemaa ilitakiwa kuwa imetekelezwa kama inavyooneshwaa kny ripoti zaake.. But mwisho wa siku wanakutaa hakunaa kitu.. Pia anasema moja ya hizo ripot za barabara aaalikbidhiwaa usiku wakat kikao ni kesho yake.. So hio inaatoa muda mfupi wa kufuatilia everything.
Yaani unajibishana na huyo jamaa,huyo yuko kitengo maalumu kwa ajili ya kuitetea sisiemu tu,achana nae.