KABLA HATA UCHAGUZI KUFANYIKA CHADEMA WAMESHAANZA KUGOMBANIA MADARAKA!!! HAYA NDIYO KAMA YALE YALIYOWAKUTA NCCR-MAGEUZI!!! HABARI ZAIDI SOMA HAPA: CHADEMA Mkoa wa Mwanza kwafukuta
Hivi ujira wako katika jukumu ulilopewa (au kujipachika) ni kiasi gani?Naona unahangaika huku na kule kujaribu kuichafua chadema.Kashindwa makamba utaweza wewe?KABLA HATA UCHAGUZI KUFANYIKA CHADEMA WAMESHAANZA KUGOMBANIA MADARAKA!!! HAYA NDIYO KAMA YALE YALIYOWAKUTA NCCR-MAGEUZI!!! HABARI ZAIDI SOMA HAPA: CHADEMA Mkoa wa Mwanza kwafukuta
Bw. Mushumbusi alisema kuwa kuwa uongozi wa chama mkoa umelazimika kuchukua jukumu la kusimamia kampeni za Bw. Wenje kwa kuwa anapambana na mgombea wa CCM, Bw. Lawrence Masha ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi.
Alipoulizwa kuhusiana na tuhuma hizo, Bw. Okong'o alisema anajiandaa kutoa ufafanuzi juu ya suala hilo pindi atakaporudi kwa vile sasa yupo nje ya mkoa wa Mwanza.
Nukuu ya taarifa hiyo ndiyo kiini cha mapungufu ya habari yenyewe:-
UNapoona jina la Masha linatajwa ujue habari hiyo inalengo la kuzusha mgogoro ambao haupo hata kidogo. Kama CCM mambo ni hayo hayo inakuwaje Habari Lao inapokuja CCM wanadai mambo ni shwari wamepatanishwa lakini Chadema tu ndiyo kunafukuta?
Habari Leo hawaandiki kulingana na maadili yao ila wanaandika ili kuchunga ajira zao kwa ni wanajua Chadema ikishinda uongozi wote wa juu utafumuliwa na kupangwa upya...............
Nukuu ya taarifa hiyo ndiyo kiini cha mapungufu ya habari yenyewe:-
UNapoona jina la Masha linatajwa ujue habari hiyo inalengo la kuzusha mgogoro ambao haupo hata kidogo. Kama CCM mambo ni hayo hayo inakuwaje Habari Lao inapokuja CCM wanadai mambo ni shwari wamepatanishwa lakini Chadema tu ndiyo kunafukuta?
Habari Leo hawaandiki kulingana na maadili yao ila wanaandika ili kuchunga ajira zao kwa ni wanajua Chadema ikishinda uongozi wote wa juu utafumuliwa na kupangwa upya...............
huna hoja!!!!
Hii issue ina harufu ya ukweli. CHADEMA MZA tunahitaji ufafanuzi tafadhali, msituzingue.