Chadema Mwanza inahesabu siku za uhai wake trust me....

security guard

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
799
603
MFADHILI MKUU WA CHADEMA SENGEREMA AHAMIA CCM
MLEZI na Mfadhili Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza, Bw. Alex Manji, ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Bw. Manji ambaye hivi karibuni alitangaza kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA, katika Uchaguzi Mkuu ujao, alifikia uamuzi huo kwenye Mkutano Mkuu wa Uchaguzi Jumuiya ya Wazazi wa CCM, wilayani hapa, uliofanyia jana.

Alisema hajashawishiwa na mtu kukihama chama hicho bali amebaini kuwa kuendelea kukaa huko ni sawa na kupoteza muda wake kwani CCM ndio chama kilichomlea tangu utoto wake.

“Nimeamua kurudi nyumbani CCM kwa hiari yangu, nitakuwa bega kwa bega na wanachama wote kuhakikisha tunaisambaratisha CHADEMA hapa Sengerema.

“Ninaijua vizuri CHADEMA kwa sababu nimekuwa mdhamini wao mkuu katika jimbo hili,’’ alisema Bw. Manji ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kata ya Nyampulukano.

Katika mkutano huo, Bw. Manji alipewa kadi yenye namba 0136371 iliyotolewa Novemba 5,2010, na mgeni rasmi Kamanda wa Vijana wa CCM wilayani hapa, Bw. William Ngeleja, ambaye alisema uamuzi aliochukua ni wa busara na unastahili kupongezwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mbunge wa jimbo hilo, Bw. William Ngeleja, aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuchagua viongozi ambao watasaidia kuimarisha chama katika Uchaguzi Mkuu ujao.

“Ndugu wajumbe, naomba tuwe makini tunapochagua viongozi ambao watakuwa msingi imara wa chama chetu huko tunakokwenda ili tuendelee kuwatumikia wananchi,” alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa CCM wilayani humo, Bw. Jaji Tasinga, aliwataka wajumbe wa mkutano huo wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao kwenye tume ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya.
 
MFADHILI MKUU WA CHADEMA SENGEREMA AHAMIA CCM
MLEZI na Mfadhili Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza, Bw. Alex Manji, ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM).


Bw. Manji ambaye hivi karibuni alitangaza kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA, katika Uchaguzi Mkuu ujao, alifikia uamuzi huo kwenye Mkutano Mkuu wa Uchaguzi Jumuiya ya Wazazi wa CCM, wilayani hapa, uliofanyia jana.

Alisema hajashawishiwa na mtu kukihama chama hicho bali amebaini kuwa kuendelea kukaa huko ni sawa na kupoteza muda wake kwani CCM ndio chama kilichomlea tangu utoto wake.

“Nimeamua kurudi nyumbani CCM kwa hiari yangu, nitakuwa bega kwa bega na wanachama wote kuhakikisha tunaisambaratisha CHADEMA hapa Sengerema.

“Ninaijua vizuri CHADEMA kwa sababu nimekuwa mdhamini wao mkuu katika jimbo hili,’’ alisema Bw. Manji ambaye pia alikuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kata ya Nyampulukano.

Katika mkutano huo, Bw. Manji alipewa kadi yenye namba 0136371 iliyotolewa Novemba 5,2010, na mgeni rasmi Kamanda wa Vijana wa CCM wilayani hapa, Bw. William Ngeleja, ambaye alisema uamuzi aliochukua ni wa busara na unastahili kupongezwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mbunge wa jimbo hilo, Bw. William Ngeleja, aliwataka wajumbe wa mkutano huo kuchagua viongozi ambao watasaidia kuimarisha chama katika Uchaguzi Mkuu ujao.

“Ndugu wajumbe, naomba tuwe makini tunapochagua viongozi ambao watakuwa msingi imara wa chama chetu huko tunakokwenda ili tuendelee kuwatumikia wananchi,” alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa CCM wilayani humo, Bw. Jaji Tasinga, aliwataka wajumbe wa mkutano huo wajitokeze kwa wingi kutoa maoni yao kwenye tume ya kukusanya maoni ya Katiba Mpya.
Chadema ipo imara hata kama akiondoka wilbroad Slaa!!Kwanza huyu mwenyewe alikua amekaa kwenye ncha ya msumari maana hata jina lake hastahili kuwa chadema et Manji!!Fisadi wapi na wapi na chadema?Alihama Shitambala itakua manji na pia kumbuka chadema haihitaji kuwa hata na wanachama ila wakati wa uchaguzi ndo utaijua kama inakubalika au haikubaliki Uliza igunga Chezea M4C wewe
 
Kweli kabisa, inategemea koo tofauti kama akina Mbowe, Mtei, Ndesamburo, Lema, malizia...

.....Arfi, Safari, Marando, Mbilinyi, Wenje, Msigwa, Zitto nk. Hivi nyie watu wa Nepi ni lazima mlete uharo hapa ili mjihakikishie posho zenu? kweli ufisadi hauwezi kuisha chini ya magambaz!!!
 

.....Arfi, Safari, Marando, Mbilinyi, Wenje, Msigwa, Zitto nk. Hivi nyie watu wa Nepi ni lazima mlete uharo hapa ili mjihakikishie posho zenu? kweli ufisadi hauwezi kuisha chini ya magambaz!!!

Mbona Mzee wa mipasho umemsahau?
 
Chadema ipo imara hata kama akiondoka wilbroad Slaa!!Kwanza huyu mwenyewe alikua amekaa kwenye ncha ya msumari maana hata jina lake hastahili kuwa chadema et Manji!!Fisadi wapi na wapi na chadema?Alihama Shitambala itakua manji na pia kumbuka chadema haihitaji kuwa hata na wanachama ila wakati wa uchaguzi ndo utaijua kama inakubalika au haikubaliki Uliza igunga Chezea M4C wewe

Mkuu umenena vema sana, Mangamba akili zao ni fupi sana, wakati Chadema inajegwa kwa moyo ya collective mass (umma) ccm inajengwa individuals (Mfadhili) fulani fulani matokei yake wanabaki kuwatukuza
Naamini huyo manji alikuwa anakitu anavizia chadema sasa hajakipita na huenda amehaidiwa huko alikokimbilia.
 
Bora aondoke alikuwa anafikiri CDM wanalea mafisadi? Alikuwa anamiliki mafuso akafikiri CDM watakuwa wanayakodi kubebea watu Kama ilivyo ccm Kumbe watu wanaenda kwenye Mikutano wenyewe. amerudi ccm ili awakodishie aliula wa chuya CDM
 
NYIE WAPUUZI KWELI IVI ATI MANJI WA UKO SENGEREMA NDO MFADHILI WA CDM? AWA MAPANDIKIZI TU FRM CCM WAMESHINDWA KUFIT CDM, USICHEZE NA M4C, MFADHILI WA CDM NI WANANCHI NA C UYO MANJ WENU, AFTERALL ANA KURA MOJA TU WAKAT TNAVUNA MAMIA YA WANACCM KUINGIA CDM KILA KUKICHa
 
Kwa taarifa yako mtu anayehama CDM kurudi CCM hana jipya kwa waTz. Mtu akitoka cdm akaenda TLP au cuf tutamfikiria!
 
Mkuu bado haujawa na hoja hata yenye viashiria kua cdm itayumba Mwanza!kwani huyo Manji ndio kabeba wana Cdm wote Mwanza?angalia kauli na hata jina lake utajua kua ni mtu hasiye jitambua,kauli kama C.c.m ndio imenilea na ilo jina lake eti Alex "Manji" utajua tu ni mtu mwenye iq ya aina gani,CDM wanataka wawakilishi wa wananchi wawe smart kwa maana ya upeo,sasa huyo bwana "Manji" ameshajua hatopitishwa na Cdm 2015 kugombea ubunge ndio maana kaona bora arejee kwy vilaza wenzake maana watamfikiria!
 
Back
Top Bottom