Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
CCM , CUF na CHADEMA vyote ni vyama vya siasa na vyote vinafanya madudu na kwa maendeleo ya nchi vyote vinatakiwa viliform lakini mbona wewe uko busy na chadema tu, nini hasa lengo lako?
Anakitakia mema chadema, angependa aone kinaendelea mbele