Jana tarehe 16 kulikuwa na mahafali ya Wanafunzi wa chadema vyuo vikuu mkoani morogoro uchokozi ni pale ambapo vijana wa chadema bila kujitabulisha walikodi ukumbi wa ccm vijana na kufanyia sherehe yao huku waliowakodishia kupigwa na butwaa baada ya kumuona Mbowe ndio mgeni rasmi katika hafla hiyo hivyo kuwafanya wao wachanganyikiwe na kuamua kupigia simu polisi kuwaeleza kwamba chadema wamevamia ukumbi ndipo vijana wa mwema wakaja na mabomu yao ndani ya magari mawili hadi wakati huo mbowe hajui kwamba yupo katika ukumbi wa ccm baada ya makamanda kuzidiwa wakaamua kumwambia kamanda mbowe ukweli wote na kwamba mpaka muda huo polisi wanahitaji kufunga haraka hafla yao lakini mbowe baada ya kushangazwa sana na tukio hilo ndipo akaamua kuwakabili huku akiwa ameshika risiti na kuwaambia kwamba wapo pale kihalari kwa kuwa wamelipia ukumbi kwa katibu wa ccm hivyo kuwaambia hafla hiyo itaisha saa sita usiku kama wanataka kushiriki waingie wachukue kadi ama la wasepe ndipo polisi walipoamua kusepa na sherehe kuendelea huku spika za ccm na vifaa vyote vikiwapongeza chadema kweli tukio hilo liliwakera sana ccm licha ya kufanya vituko vingine kadha wa kadha kama kukata umeme lakini walidhibitiwa na makamanda.
Hapo ndipo nilipojua kweli chadema wachokozi dah
Hapo ndipo nilipojua kweli chadema wachokozi dah