CHADEMA mtatatua vipi tatizo la umeme?

BondJamesBond

Member
Jul 6, 2011
85
60
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points

kwani Magamba wamekili kushidwa??

Kama wameshidwa basi wao waombe msaada from CDM maana siku zote wanaega
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.we need to see your strategic plan na solutionONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points
Soma bajeti mbadala ya nishati na madini iliyosomwa bungeni na John mnyika imeeleza kila kitu.
 
Serikali iliyoshindwa kazi yake ipishe wanaoweza kazi.CDM haipo kuifundisha kazi CCM.
Ila kama CCM imeshindwa ni heri ijitokeze yenyewe kuomba msaada sio itume watu JF kupima upepo.
 
BongJames, soma Ilani ya uchaguzi ya CDM 2010, vilevile fanya homework vizuri kwa kupitia pia bajeti ya wizara kivuli husika.
 
mimi nashangaa jamaa kuomc strategy wakati kikwete anahoji na mtangazaji wa bbc aliibeza strategy za mnyika baada ya kuwambiya kwanini wasitumie ushauri wa waziri kivuli wa upinzani akaibeza na kusema naomba unisikilize mimi achana na hao mimi nakuwambiya shida ni ukame alibaki kuliya ukame hata pale alipoambiwa ushauri wa john unafaa alipimga vikali sasa kama ccm wataka chadema walete umeme wa uhakika waachie serikali sio kulialia ukame kama mr.president
 
HTML:
mimi nashangaa jamaa kuomc strategy wakati kikwete anahoji na mtangazaji wa bbc aliibeza strategy za mnyika baada ya kuwambiya kwanini wasitumie ushauri wa waziri kivuli wa upinzani akaibeza na kusema naomba unisikilize mimi achana na hao mimi nakuwambiya shida ni ukame alibaki kuliya ukame hata pale alipoambiwa ushauri wa john unafaa alipimga vikali sasa kama ccm wataka chadema walete umeme wa uhakika waachie serikali sio kulialia ukame kama mr.president

Na kule jangwani wangekaa wanalia lia ukame sidhani kama Dubai kungekuwa na bustani nzuri za kupendeza kiasi kile.
Akili ya JK na chama chake imeishia hapo, wao kwao ikikosekana mvua ndo mwisho wa maisha. poor JK
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points

Ovyo! Maswali mengine Bwana utafikiri yanaulizwa na mgonjwa anaye recover toka kwenye kale kadawa ka usingizi kanakoitwa Ketamine! Kwa kawaida mgonjwa aliyefanyiwa mapasuaji kwa kupewa usingizi wa dawa hii anaporudia fahamu huweweseka nakusemasema maneno ya namna hii. Hebu tuambieni wana magamba (Makuwadi wa Nape) mnataka viongozi wa CHADEMA wajibu ili muwapige fix watz kwamba ulikuwa nimpango wenu kama mlivyofanya katika kila mliloliiga toka CHADEMA? Mimi siwakilishi uongozi wa CHADEMA lakini ni rahisi tu, kwa kuanzia chama makini cha
CHADEMA kitakomesha ulipwaji wa fedha za rushwa kwa makampuni mnayoyasingizia kumbe fedha zenyewe mnagawana hapahapa. Bilioni 6 wanazolipwa IPPTL kila mwezi tu zinatosha kununua Jenereta za nguvu kuzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya taifa. Vibaka walowekeza kwa mkataba mliokula rushwa wa kuchimba gesi watalipishwa kodi na kuelekezwa kuiuza gesi kwa fedha za hapahapa nyumbani na si kama sasa hata serikali hii ya vibaka inanunua kwa fedha za kigeni wanapoitaka gesi hiyo! Mipango endelevu ya kuzalisha umeme iliyosimamishwa kwa ushawishi wa vibaka wenzenu wa IPPTL, Aggrecco, Songas n.k. itafufuliwa na utakuwa ndiyo mwisho wa shida hii ya kutengenezwa ya umeme.
 
Huyu mleta thread katumwa, na ushauri wangu hapa ni kumfumbua macho hapahapa ili akigeuka nyuma ageuke jiwe la chumvi! Ni bora tumwelimishe ili ujinga umtoke na asirudie tena. Atambue kuwa atakuwa mpumbavu sana kama ataipigia kura sisiem alafu aje aulizie mipango ya maendeleo cdm. Huo ni upuuzi kabisa!
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points
kwani hao uliowataja wamesema wameshindwa..?? na kwa nini unakimbilia kuita ..BALME GAMES... wakati ni ukweli..?? Wao ndo wametufikisha hapa. TATIZO LA MAGAMBA KUUKUBALI UKWELI KWAO NI ISHU KUBWA................ WAKO TAYARI WANYONGWE LAKINI HAWATAKI KUAMBIWA UKWELI................ NA NDIYO MAANA HATA HAO WANAOWAHITA MAGAMBA NAO WANAKANA KWAMBA WAO NI MAGAMBA................. kuna mmoja alisema yeye hajui kama naye ni gamba.......
 
Huyu mleta thread katumwa, na ushauri wangu hapa ni kumfumbua macho hapahapa ili akigeuka nyuma ageuke jiwe la chumvi! Ni bora tumwelimishe ili ujinga umtoke na asirudie tena. Atambue kuwa atakuwa mpumbavu sana kama ataipigia kura sisiem alafu aje aulizie mipango ya maendeleo cdm. Huo ni upuuzi kabisa!
Na akigeuka jiwe la chumvi sisi TUNAMLAMBA au TUTAMTIA kwenye mboga au wali TUMLE huko
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points

Usilete hoja za kijinga! Mnahongwa kofia na tisheti mkitegemea chadema kushika dola! kwanza mpeni dola ndio muulize swali kama hili na sio kukurupuka kama umefumaniwa
 
Kule kuanza kuomba MBINU leo hii wakati awamu hii ya nne inakaribia kumaliza safari yake hakika ni ajabu na vichekesho kwa watu wenye akili. Yaani ni sawa na kusema umefunga safari kutoka stendi Ubungo hadi mtu unafika mjini Tanga kisha ndio unaanza kuuliza watu barabarani wkuelekeze jinsi gani ya kufika Nyalugusu - CCM guys you are NOT serious; stop taking us for a ride!!!!!!!!!!!

Kwa nini mmanze kuomba blanketi alfajiri yote hii wakati hata nyinyi mnajua kwamba tayari kumekucha na hata sauti ya VINDEGE (WaTanzania Walalahoi) tayari vinatawala kila mahali??

Mambo ya kupewa nyinyi ulichokiita STRATEGY ya kutatua tatizo la umeme ni sharti kwanza mkubali kwamba mmeshindwa kuongoza nchi, pili mkapishe katika hizo ofisi mbalimbali mlizojikimbilia kunyakua hat bila kujua mnaenda kufanya mfikapo mle, hapo ndipo mtakapojua kwamba wapo Watanzania wengine pia huku nje ambao wanao uwezo mkubwa sana kutatua tatizo la umeme nchini.

Kimantiki zaidi, siku zote kabla mtu haujaanza kutatua tatizo lolote kwanza ni sharti ukalichunguze tatizo lenyewe na kutafuta kujua kwamba ni kivipi Watanzania tulifika hapa tulipo kama nchi kwenye umeme wa kubahatisha ambalo hivi sasa limekua sugu. Hakika jibu la swali hili kamwe haliwezi kupatikana bila kupembua nini walichokifanyia taifa CCM, Rostam Aziz na Edward Lowassa mpaka tukafika hapo.

Maswali ya kinadharia (Hypothetical questions) bila shaka yatakua pamoja na haya:

(1) je tatizo la umeme nchini ulianzaje? Pengine lilisababishwa na mtu, pengine na kikundi, pengine na hali tu ya hewa.
(2) Je, ni hatua zipi zilizowahi kuchukuliwa kutafuta ufumbuzi?

(3) Je, hatua hizo zilizochukuliwa kweli ndizo zilizokua bora zaidi kuwahi kufikiriwa katika hali kama hiyo inayotukumba?
(4) Je, wataalam wenye taaluma zao nchini walihushishwa kwa kiasi gani katika swala zima tangu mwanzo (na wataalam hao walipatikanaje)?

(5) Je, kuna uwezekano wowote kwamba 'Executive Intervention' katika tatizo hili liliweza kuleta ushawishi wowote na kuumba sura mpya ya tatizo tulio nayo (hilo lilitokeaje na huo mguso ulikua ni wa manufaa au adha ndani mwake)?
(6) Je, kuna uwezekano wowote kwamba fedha za Watanzania huenda zilitumika nje ya sheria na taratibu zozote zinazotambulika na kukubalika?
.... etc

Mara baada ya kujiuliza MASWALI MAGUMU yote juu ya changamoto la umeme hapo ndipo tunapoweza sasa kuanza kujiuliza kwamba katika yote hayo sisi kama Taifa tuliangukia wapi na sasa kitu gani kifanyike, lini, wapi na kwa mtindo upi, kwa kutumia rasilmali zipi zitakazopatikana kutoka wapi na kwa TAHADHARI zipi ili tuweze kuwa na hali njema ki-Umeme kuliko tulivyokua hapo jana LAKINI KWA GHARAMA STAHIKI, VYOMBO STAHIKI, na kwa kutumia watu stahiki, mbinu stahiki, kwa wakati stahiki ili taifa letu tuweze kupata TIJA STAHIKI kwa kila Mtanzania.

Hivyo nasema, STOP JUMPING THE GUNS if at all you would still be interested to be lined up as one of the Great Thinkers on board, a hoard of homework MUST be done and NOT just giving such a casual treatment to a matter of GRAVE NATIONAL CONCERN like this of Umeme. If you agree with me on a number of propositions above then let me know.
(3) Je hali kama hii iliwahi kutokea huko nyuma katika kipindi cha awamu nyinginezo? fedha kw

Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points
 
Naomba mtupatie clear strategy ya namna mtakavyotatua tatizo la umeme.

we need to see your strategic plan na solution

ONYO: Enough with blame games hivyo naomba we leave CCM na akina EL na Rotam out of this. Naombeni Clear plan yenu ambayo ni workable and not some soundbite ambazo tumezizowea humu ya kutaka ku score political points
Watatuaje wakati wako nje ya serikali na wewe??

hebu tumia hicho kidogo ulichonacho kichwani kusalimiana na watu, haya mengine huyawezi
 
Jinsi ulivyolitoa swali lako inaonesha wazi kuwa magamba wamekiri kuwa tatizo halina solution na hawaamini kama kuna watakaoweza kulitatua. Kazi ipo!
 
Wakati wa kupiga kura ulipigia magamba ukaingia nao mkataba wa kukuongoza wala haukuwakumbuka CDM sasa mambo yamekufika pabaya ndo unawakumbuka CDM,kwani uliowachagua wako wapi,nenda magogoni uwaulize jamani vipi tena?mkiambiwa wala hamsikii,mkioneshwa hamuoni,mara hii mtakoma na mtajuta,njaa ufundisha kula naamini 2015 utajua nini maana ya CDM,...bullshit!!
 
Nimejaribu sana lkn nimeshindwa kukuelewa, unatoa onyo hapa wakati umejitapikia, umejiharishia na unahitaji msaada!! Sijawahi kuona...
 
Back
Top Bottom