mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,055
- 5,430
Mkuu polisi siyo wanasiasa wakuombwa ushirikiano wa kufanya kazi. polisi ni AGIP= Any Government In Power. Watatii na wameapa kutii.cdm hata wakitawala cjuwi watafanya kazi na nani maana hawa polisi wamewa2ukana mn6