Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema