chadema msiwahadae watanzania juu kifo cha daudi na wengine

Status
Not open for further replies.

Mgongo wa paka

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
485
36
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema
 
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema

Mara nyingi gongo ya asubuhi humfanya mtu kuwa mwendawazimu.
 
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema

Umetoka kuzma we shetan muuaji wa magamba?
 
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema

kama ukikosa kazi jaribu kutafuta mtoto yoyote umuoshe kama amejinyea kuliko kukaa asubuhi yote hii kuandika mada za kimbea na za kiudaku mh utakuwa umepunguza mzigo wako wa dhambi kwa mwenyezi mungu.
 
Kama mbinu ni hizo basi naona sio mbaya ni mbinu zakisikuhizi ,zimetumika Misri ,Libya Yemen na bado zinaendelea kutumika Syria na huko zilikotumika serikali zimeanguka na kusambaratika.
Let them try it ,atakaekumbwa na maafa katika mbinu hizo itakuwa siku zake za kuishi hapa duniani zimefika ,muhimu ni kumuondoa adui CCM madarakani na kuweka soji lingine katika huyu punda wetu Tanzania ,kwani soji liliopo linavuja na mali inapotea.Wakati wa kubadilisha sogi umefika.
 
Kama huna hoja! chukua kipande cha sabuni nenda kapige puli mpaka uishiwe nguvu,nyama we!
 
Ungeleta maevidence kama mapicha, mavideo na manyaraka ningekuweka kwenye list ya role modal wangu kama akina 007. MMKj, Pasco. Bibi kuku, Hutaki Unaacha, jmushi1 nk. Binafsi sina rafiki wa adui wa kudumu ila nina uzalendo wa kudumu.
 
Kama mbinu ni hizo basi naona sio mbaya ni mbinu zakisikuhizi ,zimetumika Misri ,Libya Yemen na bado zinaendelea kutumika Syria na huko zilikotumika serikali zimeanguka na kusambaratika.
Let them try it ,atakaekumbwa na maafa katika mbinu hizo itakuwa siku zake za kuishi hapa duniani zimefika ,muhimu ni kumuondoa adui CCM madarakani na kuweka soji lingine katika huyu punda wetu Tanzania ,kwani soji liliopo linavuja na mali inapotea.Wakati wa kubadilisha sogi umefika.

Mkuu tuungane pamoja.Mimi nimekereka sana na huyu msajili fedhuli anavyofanya hujuma dhidi ya CUF na CDM
 
ndo maana kuna vyama vingi.. Unaeza shabikia ukipendacho, Chadema kama hakikuridhish hama...
 
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema

Muuaji mkubwa wewe
 
Ccm ina makada wa hovyo sana, kama unalipwa kwa kufanya huu upuuzi hapa JF tafadhali taufuta kazi ingine kwa kuwa hii hutaiweza. Rudi std 1 ukajifunze kuandika. Sina hakika kama kuwa na uwezo wa kuchambua hoja ni rahisi kwako, yawezekana ulilelewa vibaya na sasa umri umekutupa mkono.
 
chadema mipango yenu ya makusudi na mnyayo iita ya kimkakati ikiwamo na mipango ya siri, kwa kushirikiana na baadhi ya maaskari polisi ili kufanikisha maslahi yakisiasa kama tuonavyo sasa, chadema wanajitia kutofaham lolote na kuliangushia lawama tele jeshi la polisi kwa ujumla pamoja na serikari, mbinu hizi za kimafia zinazo fanywa na chadema zitaigharimu tanzania watanzania let us think more about technicks taken by chadema. Wengi mtadharau na kuona kauli hii nayo toa ni kejeli but you will see matokeo baadae hatimae kuja kugundua watu wengi wamepoteza maisha, chadema kwa sasa ni chama hatari chenye mbinu zisizo faa za kupata majority na simpathy kwa wa tanzania hili ni jicho la upande wa pili nyote mmekuwa mnaangaria serikari na jeshi lote la polisi na kutupalawama kwa serikali na jeshi hilo.. Nivema wa tanzania tukawa wazalendo. Natusiwe watu wakushabikia tu na kufurahia hali hii inayo sababishwa na kuchochewa na chadema

jambo ninaloliona humu ndani sikuizi watu hawaargue kwa hoja tena kama ilivyokuwa awali bali bali jazba na kejeli hasa unapojaribu kuongea au kushauri chochote kuhusu chadema. chadema sasa ni mungu wa vyama vya siasa hapa tanzania kwa mitizamo yao dhaifu na ukijaribu kukosoa basi unaonekana umekufuru.. ni ufupi wa akili zao naunga mkono hoja yako
 
Mmekosa hoja wewe na nape mnaanza kusingezia ETI WALE ASKARI NI CDM..tafuteni toleo jipya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom