everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Nimesoma habari ya Utoah akiongea na waandishi wa habari na kusema ni vyama vitano tu ndo vimewakilisha mahesabu ya uchaguzi, nanukuu
"......Ripoti hiyo inaonyesha kuwa vyama vingi vya siasa hadi sasa havijawasilisha hesabu za matumizi yao ofisini kwake na mpaka sasa ni vyama vitano tu ndivyo vilivyowasilisha, hesabu hizo na vyama hivyo ni CCM, CUF, TLP, Chama cha NCCR-Mageuzi na UDP na kwamba katika kaguzi hizo, matokea yanaonyesha kuwa vyama vyote vilivyokaguliwa vimepata hati inayoridhisha......." source gazeti la NIPASHE.
Viongozi CHADEMA imekuaje mpaka leo mahesabu ya uchaguzi hamjawasilisha? Au ni kwamba bado yapo kwa msajili na Utoah hajakabidhiwa? Embu tufafanulieni hapa maana hiki nacho ni kipimo cha utawala bora...
"......Ripoti hiyo inaonyesha kuwa vyama vingi vya siasa hadi sasa havijawasilisha hesabu za matumizi yao ofisini kwake na mpaka sasa ni vyama vitano tu ndivyo vilivyowasilisha, hesabu hizo na vyama hivyo ni CCM, CUF, TLP, Chama cha NCCR-Mageuzi na UDP na kwamba katika kaguzi hizo, matokea yanaonyesha kuwa vyama vyote vilivyokaguliwa vimepata hati inayoridhisha......." source gazeti la NIPASHE.
Viongozi CHADEMA imekuaje mpaka leo mahesabu ya uchaguzi hamjawasilisha? Au ni kwamba bado yapo kwa msajili na Utoah hajakabidhiwa? Embu tufafanulieni hapa maana hiki nacho ni kipimo cha utawala bora...