Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wao 80% ya muda wa kampeni wanapiga miziki
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia muda mwingi kukejeri wapinzani(tutawachana)
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatoa ahadi za meli kwani meli ndio sera yao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia press conference kutukana(mbumbumbu)
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanaingilia mambo binafsi ya ndoa za watu
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanadharau wagombea kwa elimu zao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanataka kuwagawa watu kwa imani zao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanawatenga watu kwa matabaka na makabila yao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM....................
Kama wao CCM wanayafanya hayo kwa nini walazimishe Chadema kuelezea sera zao ilhali wao hawafanyi hivyo. Chadema be careful CCM inachotaka ni kuwapotezea muda wakati kwenye kampeni kinachotakiwa ili ujumbe ufike kwa mlengwani ni hamasa ya wasikilizaji kama wanavyofanya wao.
Kwanini CCM inagharamia wanamziki karibu wote wa Bongo flava na karibu kwaya zote za dini, wanajua kuwa bila vitu hivyo ni vigumu sana kukusanya watu na kufikisha ujumbe.
Nashauri CHADEMA wafanye yafuatayo: Sambamba na sera mlizonazo...
Hamasa ya wasikilizaji ni pamoja na miziki piga miziki mikutanoni kwanini wawalazimishe kuongelea sera na wakati wao hawaongelei, hizo ni mbinu za kilaghai na kuwapotezea malengo.
Kama sera zipo zipo tu na hata ukizizungumza kwa kutoa machozi haisaidii utasema leo kesho wote wameshasahau watakumbuka vile mdundo wa bongo flava ulivyokuwa unadunda.
-wakikejeri na nyie mtindo huo huo wakejeri msiogope kuambiwa sio wastaarabu
-wakileta personal issues hakuna kuwalazia damu tit for tat
-piga bongo flava na nyimbo za dini na mapambio ikiwezekana mbona wao wanafanya
-Kama mnaona mabomu yanasaidia yalipueni ila angalia yasiwapasukie, hata Mrema yalimsaidia. CCM wanayaogopa sana ndio maana kila siku wanaomba eti kampeni za kistaarabu ili wapate pumzi wakati wao wakiendelea kuwaumiza kwa vyombo vyao vya habari.
Chadema mkifanya hivyo mta win wapenzi wengi ambao ni vijana na mtazishinda mbinu za wapinzani wenu wanaotaka kampeni zilizodumaa. Lakini kama mkitaka kufuata yale CCM wanayotaka mtaumia.
Ni utafiti mdogo nilioufanya kulingana na mahitaji ya siasa za Tanzania. Naomba kutoa hoja.
Luteni.
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia muda mwingi kukejeri wapinzani(tutawachana)
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatoa ahadi za meli kwani meli ndio sera yao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanatumia press conference kutukana(mbumbumbu)
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanaingilia mambo binafsi ya ndoa za watu
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanadharau wagombea kwa elimu zao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanataka kuwagawa watu kwa imani zao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM wanawatenga watu kwa matabaka na makabila yao
Kama ni kuelezea sera mbona CCM....................
Kama wao CCM wanayafanya hayo kwa nini walazimishe Chadema kuelezea sera zao ilhali wao hawafanyi hivyo. Chadema be careful CCM inachotaka ni kuwapotezea muda wakati kwenye kampeni kinachotakiwa ili ujumbe ufike kwa mlengwani ni hamasa ya wasikilizaji kama wanavyofanya wao.
Kwanini CCM inagharamia wanamziki karibu wote wa Bongo flava na karibu kwaya zote za dini, wanajua kuwa bila vitu hivyo ni vigumu sana kukusanya watu na kufikisha ujumbe.
Nashauri CHADEMA wafanye yafuatayo: Sambamba na sera mlizonazo...
Hamasa ya wasikilizaji ni pamoja na miziki piga miziki mikutanoni kwanini wawalazimishe kuongelea sera na wakati wao hawaongelei, hizo ni mbinu za kilaghai na kuwapotezea malengo.
Kama sera zipo zipo tu na hata ukizizungumza kwa kutoa machozi haisaidii utasema leo kesho wote wameshasahau watakumbuka vile mdundo wa bongo flava ulivyokuwa unadunda.
-wakikejeri na nyie mtindo huo huo wakejeri msiogope kuambiwa sio wastaarabu
-wakileta personal issues hakuna kuwalazia damu tit for tat
-piga bongo flava na nyimbo za dini na mapambio ikiwezekana mbona wao wanafanya
-Kama mnaona mabomu yanasaidia yalipueni ila angalia yasiwapasukie, hata Mrema yalimsaidia. CCM wanayaogopa sana ndio maana kila siku wanaomba eti kampeni za kistaarabu ili wapate pumzi wakati wao wakiendelea kuwaumiza kwa vyombo vyao vya habari.
Chadema mkifanya hivyo mta win wapenzi wengi ambao ni vijana na mtazishinda mbinu za wapinzani wenu wanaotaka kampeni zilizodumaa. Lakini kama mkitaka kufuata yale CCM wanayotaka mtaumia.
Ni utafiti mdogo nilioufanya kulingana na mahitaji ya siasa za Tanzania. Naomba kutoa hoja.
Luteni.