MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Nachukua fursa hii adimu kutoa hongera kwa viongozi wa NCCR Mageuzi kwa kuonyesha UJASIRI wa kuwaita viongozi na wanachama mbele ya vikao halali na kuchukua maamuzi magumu ya kuwavua uanachama akiwemo mbunge wa Kigoma Kusini, Kafulila.
Wakati CUF nayo leo wakitarajia kumweka kiti moto mbunge wa Wawi, Hamad Rashidi, CHADEMA wamekuwa butu kumwita mbunge wao, John Shibuda anayeonekana anawasaliti kupitia kauli zake na vitendo vyake vya kutufuata mwenendo wa viongozi wake wa CHADEMA.
Kulikoni CHADEMA kwa nini mnakuwa wagumu kumweka kiti moto Shibuda????? Mie nafikiri Shibuda kawashika pabaya hivyo mwaogopa mkimpiga chini, atamwaga uozo wenu wote mbele ya jamii.
Poleni kwa kushindwa kufanya maamuzi dhidi ya Shibuda ama mwaogopa ruzuku kupungua????
Wakati CUF nayo leo wakitarajia kumweka kiti moto mbunge wa Wawi, Hamad Rashidi, CHADEMA wamekuwa butu kumwita mbunge wao, John Shibuda anayeonekana anawasaliti kupitia kauli zake na vitendo vyake vya kutufuata mwenendo wa viongozi wake wa CHADEMA.
Kulikoni CHADEMA kwa nini mnakuwa wagumu kumweka kiti moto Shibuda????? Mie nafikiri Shibuda kawashika pabaya hivyo mwaogopa mkimpiga chini, atamwaga uozo wenu wote mbele ya jamii.
Poleni kwa kushindwa kufanya maamuzi dhidi ya Shibuda ama mwaogopa ruzuku kupungua????