CHADEMA, msiidharau ADC... Take it from me!

Mimi nilidhani chadema wangeifanyia kazi hii kitu toka kipindi kile, kimsingi hizi rangi zitaleta sana confusion hasa kny upigaji wa kura,ufahamu na uelewa wa watu unatofautiana kuna watu watashindwa kutofautisha hizi bendera mfano wazee.
 
Chadema wanatakiwa kulalamika, lakini watalalamikia wapi wakati wametangaza mgogoro na msajili?
 
Kwa hakika ukitamka tu CDM bila hata bendera watu wanaamka!!! Kuna mahali nilitembelea rafiki yangu na nyumba yake na watoto from grade one to 6 wa kwake na wa ndugu about 6 na wote ni CDM. Nikawauliza kwa nini wakasema nanukuu "SSM gani wakati kila siku wao wanashiba tu na wengine hata kule shuleni wanatembea peku hawana viatu na waalim juzi waliacha kufundisha halafu eti mgambo wa Temeke wakaja kuwapiga na mwingine wakaba hela yake kwenye bag...." Yaan hayo ni maneno ya watoto under 12 years. Nlishika mdomo. Yaani wanajua eti hata waalim wao kuwalazimisha kununua mihongo, karanga, kashata, na uji ni ili waalim wapate hela maana hawana mshahara wa kutosha. Watoto walitetea waalim kuliko ambavyo naweza kuwatetea. Kwa mantiki hii hata kikitokea chama kingine with the copy of CDM flag, bado hakiwezi kufika CDM ilikofikia, it is a nightmare!!
 
Chadema wanatakiwa kulalamika, lakini watalalamikia wapi wakati wametangaza mgogoro na msajili?

Hivi huyu Tendwa ana umri gani? Maana ile taasisi haiwezi tena!! Akapumzike maana mwanaye ameshamtanguliza Ofisi ya Waziri Mkuu anaweza ateuliwe tena kuwa Msajili maana nchi hii kwa mambo ya familia ni mwisho.
 
Wanabodi,
Mpangilio wa rangi za chama kipya kilichopata usajili wa kudumu cha ADC unafanana kwa kiasi kikubwa sana na ule wa bendera za chadema.

Hata wakati anakipatia usajili wa muda, msajili wa vyama vya siasa alilitanabaisha hilo ila akasema anasubiri chadema walalamike ili kuangalia uwezekano wa kuwaambia ADC wabadilishe rangi hizo. Hadi sasa chadema ipo kimya kuhusu suala hilo.

Nionavyo mimi, kuna uwezekano mkubwa sana bendera ya ADC imekuwa designated hivyo ilivyo kwa makusudi mazima na wala si bahati mbaya.

Baadhi ya sababu zaweza kuwa hizi:
1. Kupata umaarufu kupitia mgongo wa chadema ambayo kwa sasa ipo juu katika medani za siasa nchi. Kwamba utakaposema bendera ya ADC imefanana na ya chadema, automatically utakuwa umeitaja na hivyo kuifanya isifutike kirahisi kwenye midomo na vichwa vya watu.

2. Kuleta mkanganyiko wa makusudi.
Kwa first impression ni vigumu kuitofautisha bendera ya ADC na ile ya chadema hasa kwa watu ambao ni "colour blind". Impact yake itakuwa kwenye chaguzi. Mtu anaweza akadhani ameipigia kura chadema kumbe kaipigia ADC. Kama chadema itaendelea kukaa kimya basi itarajie madhara makubwa sana katika eneo hili.

Kwa kuwa inawezekana kabisa uanzishwaji wa ADC ni "mkakati maalum", basi chadema isikae kimya hata kidogo. Ni lazima chadema ipeleke malalamiko yake kwa msajili ili ADC ibadilishe rangi zake. Kama chadema wataendelea kukaa kimya basi wasishangae kuona nguvu kubwa wanayotumia kujenga chama kumbe wanawafanyia watu wa chama kingine bila kujijua.

bendera ya chadema


bendera ya ADC


Mkuu Mkeshaji, i personally think this is kind of a scam with closeness of the colours, CHADEMA and ADC ...unajua kule kijijini kwetu(ambapo naamini ndio population kubwa ya watanzania waliko) watu huchagua kutokana na rangi za bendera, na hii hutokana na Ujinga(kutokuwa na ufahamu), yaani mtu alishapanga mimi nitapiga kura kwa chama fulani chenye rangi ile.. sasa kwa uwiano kuna rangi tatu ambazo ziko katika bendera hizo na utofauti unakuja katika Nyota, maumbo(pembe tatu n.k) na alama ya kiganja kinachoonyesha vidole.

Ushauri:

Kama hali ikiwa hii, 2015 ...au hata kabla ya 2015, mkanganyiko mkubwa utatokea na kusababisha watu kupiga kura kwa chama fulani wakidhani wanapigia mgombea wa chama fulani!!

Let the differences be sorted out mapema, otherwise watu fulani watasema ilikuwa ni mpango wa chama fulani kuanzisha chama kingine ili kuharibu kura kupitia mfanano wa rangi na wengine kusema kura zote au nusu za chama fulani ni za kwao!
 
Kwa hakika ukitamka tu CDM bila hata bendera watu wanaamka!!! Kuna mahali nilitembelea rafiki yangu na nyumba yake na watoto from grade one to 6 wa kwake na wa ndugu about 6 na wote ni CDM. Nikawauliza kwa nini wakasema nanukuu "SSM gani wakati kila siku wao wanashiba tu na wengine hata kule shuleni wanatembea peku hawana viatu na waalim juzi waliacha kufundisha halafu eti mgambo wa Temeke wakaja kuwapiga na mwingine wakaba hela yake kwenye bag...." Yaan hayo ni maneno ya watoto under 12 years. Nlishika mdomo. Yaani wanajua eti hata waalim wao kuwalazimisha kununua mihongo, karanga, kashata, na uji ni ili waalim wapate hela maana hawana mshahara wa kutosha. Watoto walitetea waalim kuliko ambavyo naweza kuwatetea. Kwa mantiki hii hata kikitokea chama kingine with the copy of CDM flag, bado hakiwezi kufika CDM ilikofikia, it is a nightmare!!
Mkuu suala la kufanana rangi za bendera ni suala kubwa wala halihitaji kufanyiwa dharau.
Hekaheka zoooote zinazofanywa na chadema kwa sasa madhumuni yake ni kupata kura nyingi iwezekanavyo wakati wa uchaguzi. Kwa kufanana kwa bendera kuna uwezekano mkubwa mtu akaipigia kura ADC akidhani ameipigia chadema. Kuna uwezekano wakati wa uchaguzi kura nyingi za chadema zikaenda ADC.
 
nawahakikishia chama hiki hakitavuka mipaka ya dsm na zenji na kwenye uchaguzi wa 2015 hakitafikisha asilimia moja ya kura zote na hakitapata diwani wala mbunge hata mmoja.take it from me!
 
nawahakikishia chama hiki hakitavuka mipaka ya dsm na zenji na kwenye uchaguzi wa 2015 hakitafikisha asilimia moja ya kura zote na hakitapata diwani wala mbunge hata mmoja.take it from me!
Wakiweza kulamba kura 1000 ambazo zilikuwa zienda chadema, hiyo ni hasara kubwa kwa chadema.
 
Mimi nilidhani chadema wangeifanyia kazi hii kitu toka kipindi kile, kimsingi hizi rangi zitaleta sana confusion hasa kny upigaji wa kura,ufahamu na uelewa wa watu unatofautiana kuna watu watashindwa kutofautisha hizi bendera mfano wazee.

Uzembe huu utawacost dearly CHADEMA. Ni kama mtu anapita kwako na kuondoka na ufito kila apitapo na wewe hujari. Utashtuka siku ukilala na kujikuta unapungwa na kibaridi.
 
ccm ni wapuuuz cjawai ona, wanafanya kla jambo maut isiwakute...
 
Hichi chama si ndio kitoto cha CUF alichozalishwa na mumewe CCM kinafanana sana na mama yake angalia sura yake. Ila sio kesi kianze kujitegemea maana ndoa ya wazazi bado iko tete.
 
uoga wa kijinga sana huu, kwanini tuwe wanasiasa wenye kutegemea siasa za upepo na vijisababu visivyo na sababu? Hebu acha hoja zifanye kazi, ikiwa watakua na mtazamo zaidi ya chadema watachukua nafasi ila wakiwa na hoja mfu na ubunifu zindifu na utawala kama walioukana, hata wawe na akina zito na akina mbowe 30 hawataweza kushinda kuchukua nchi eti kwa kigezo cha rangi za bendera tu...jikite kutafakari nini kifanyike kuwaingia watu akilini na damuni mwao waamini chama sio rangi za bendera
 
Think wide!
Naona mnaogopa sana, kule kuna nyota huku kuna vidole viwili wapi na wapi! We ukila wali mweupe wa maji wengine watakula wali wa nazi mchele ni uleule viungo na radha tofauti sasa utasema hujashiba kwa sababu wewe umekula wali mweupe wa maji na yule kala wali mweupe wa nazi wakati nyote mmepewa vipimo sawa?

Naona kama ni uoga wa mtoto aanzae kusimama anaogopa kuanguka.

Hivi hao wapiga kura hata kama ni vipofu wa Rangi watakuwa pia ni vipofu wa sura za watu .

Visingizio!!
 
Back
Top Bottom