Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ
unajiita dume la mbegu halafu unaogopa mashoga!? Au kuna kitu umekalia?