Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Juzi ktk mkutano wa hadhara na wananchi wa mbeya, mwenyekiti ndg Freeman Mbowe alisikika akisema "moto waliouwasha hautazimika mpaka kieleweke", this means vyama vingine visitarajie anguko lolote kwa chadema bt wajipange kwa mageuzi yajayo. Je hii inatoa somo gani kwa wanachama, viongoz na wapenzi wa ccm?