Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
kuna habari kuwa TBC wameweka hadharani makubaliano waliyoingia na vyama vya siasa ya kuzingatiwa kila wanaporusha matangazo ya mikutano ya hewani. binafsi sijafanikiwa kuyaona,kama kuna mwenye hayo makubaliano itakuwa vyema akitubandikia apa.
hoja yangu ni kuwa; kama kweli hakukuwa na matusi kwenye uzinduzi wa kamapeni za chadema pale jangwani, basi kwa kukatisha matangazo ya ule mkutano TBC walikiuka mkataba na hivyo wanapaswa kushtaiwa na kilipa fidia kwa hasara yoyoyte iliyotokea.
mimi si mwanasheria lakini wanasheria naomba mtusidie kwa kufafanua hili. na kama chadema wasiposhitaki, tuwaeleweje hata kwa case obvious namna hii ya breach of contract?
hoja yangu ni kuwa; kama kweli hakukuwa na matusi kwenye uzinduzi wa kamapeni za chadema pale jangwani, basi kwa kukatisha matangazo ya ule mkutano TBC walikiuka mkataba na hivyo wanapaswa kushtaiwa na kilipa fidia kwa hasara yoyoyte iliyotokea.
mimi si mwanasheria lakini wanasheria naomba mtusidie kwa kufafanua hili. na kama chadema wasiposhitaki, tuwaeleweje hata kwa case obvious namna hii ya breach of contract?