Sijui kama wana Chadema wengi wana kumbukumbu za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru wa sasa ambaye pia ndiye msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Arumeru, Bw. Trasias Kagenzi. Kama hamkumbuki huyu huyu mwaka 2008 ndiye wakati huo akiwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime, alimtangaza Charles Nyanguru Mwera wa Chadema kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo. akimwacha mbali Christopher Ryoba Kangoye wa CCM.
Baada ya kujua hayo nadhani wana Chadema hamtakuwa tena na wasiwasi na huyu bwana cha muhimu kama mnaamini kura zitawatosha, basi zilindeni na kuhakikisha fomu zinazofika kwakwe ni zile zilizotoka kwenye vituo halali tu na si vinginevyo na huyo jamaa hana ajizi atawatangaza washindi, kama ilivyokuwa 2008.
Wakuu nawasilisha
Baada ya kujua hayo nadhani wana Chadema hamtakuwa tena na wasiwasi na huyu bwana cha muhimu kama mnaamini kura zitawatosha, basi zilindeni na kuhakikisha fomu zinazofika kwakwe ni zile zilizotoka kwenye vituo halali tu na si vinginevyo na huyo jamaa hana ajizi atawatangaza washindi, kama ilivyokuwa 2008.
Wakuu nawasilisha