CHADEMA Mnamkumbuka Mkurugenzi wa Sasa wa Arumeru?

ESAM

JF-Expert Member
Mar 15, 2011
1,163
546
Sijui kama wana Chadema wengi wana kumbukumbu za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru wa sasa ambaye pia ndiye msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Arumeru, Bw. Trasias Kagenzi. Kama hamkumbuki huyu huyu mwaka 2008 ndiye wakati huo akiwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime, alimtangaza Charles Nyanguru Mwera wa Chadema kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo. akimwacha mbali Christopher Ryoba Kangoye wa CCM.
Baada ya kujua hayo nadhani wana Chadema hamtakuwa tena na wasiwasi na huyu bwana cha muhimu kama mnaamini kura zitawatosha, basi zilindeni na kuhakikisha fomu zinazofika kwakwe ni zile zilizotoka kwenye vituo halali tu na si vinginevyo na huyo jamaa hana ajizi atawatangaza washindi, kama ilivyokuwa 2008.
Wakuu nawasilisha
 
Hatimae uliyoyatabir yametimia watu kama hawa ndio wanaostahili kuongoza tume ya taifa ya uchaguzi
 
Live long Mkurugenzi, mapepo yote ya magamba yashindwe kukugusa
 
nimependa tu alivyomshughulikia msimamizi msaidizi wake kwa kuamuru apelekwe polisi na jinsi alivyoomba radhi kuwa tusameheane kama kuna migongano ya hapa na pale hongera sana nakumbuka walikushtaki na kutaka kukufukuza kazi ila ulirudi kwakuwa unasimamia haki
 
Sijui kama wana Chadema wengi wana kumbukumbu za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru wa sasa ambaye pia ndiye msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Arumeru, Bw. Trasias Kagenzi. Kama hamkumbuki huyu huyu mwaka 2008 ndiye wakati huo akiwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime, alimtangaza Charles Nyanguru Mwera wa Chadema kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo. akimwacha mbali Christopher Ryoba Kangoye wa CCM.
Baada ya kujua hayo nadhani wana Chadema hamtakuwa tena na wasiwasi na huyu bwana cha muhimu kama mnaamini kura zitawatosha, basi zilindeni na kuhakikisha fomu zinazofika kwakwe ni zile zilizotoka kwenye vituo halali tu na si vinginevyo na huyo jamaa hana ajizi atawatangaza washindi, kama ilivyokuwa 2008.
Wakuu nawasilisha

HATIMAYE Kgenzi Trasias amemtangaza Nassar kuwa mbunge.hongera sana ndugu yangu kwa utabiri wako.Yametimia.
 
Sijui kama wana Chadema wengi wana kumbukumbu za Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru wa sasa ambaye pia ndiye msimamizi wa uchaguzi mdogo wa Arumeru, Bw. Trasias Kagenzi. Kama hamkumbuki huyu huyu mwaka 2008 ndiye wakati huo akiwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tarime, alimtangaza Charles Nyanguru Mwera wa Chadema kuwa mshindi wa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo. akimwacha mbali Christopher Ryoba Kangoye wa CCM.
Baada ya kujua hayo nadhani wana Chadema hamtakuwa tena na wasiwasi na huyu bwana cha muhimu kama mnaamini kura zitawatosha, basi zilindeni na kuhakikisha fomu zinazofika kwakwe ni zile zilizotoka kwenye vituo halali tu na si vinginevyo na huyo jamaa hana ajizi atawatangaza washindi, kama ilivyokuwa 2008.
Wakuu nawasilisha

Pia alimtangaza John Heche suguta kuwa Diwani wa Kata ya Tarime mjini baada ya kumubwaga vibaya mfanyabiashara mkubwa peter Zakari, nafasi zote ziliachwa wazi na Marehemu Chacha Wagwe
 
Back
Top Bottom